Surah Hadid aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hadid aya 4 in arabic text(The Iron).
  
   

﴿هُوَ الَّذِي خَلَقَ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضَ فِي سِتَّةِ أَيَّامٍ ثُمَّ اسْتَوَىٰ عَلَى الْعَرْشِ ۚ يَعْلَمُ مَا يَلِجُ فِي الْأَرْضِ وَمَا يَخْرُجُ مِنْهَا وَمَا يَنزِلُ مِنَ السَّمَاءِ وَمَا يَعْرُجُ فِيهَا ۖ وَهُوَ مَعَكُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ ۚ وَاللَّهُ بِمَا تَعْمَلُونَ بَصِيرٌ
[ الحديد: 4]

Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akakaa vyema juu ya enzi. Anayajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda humo. Naye yu pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayo yatenda.

Surah Al-Hadid in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is He who created the heavens and earth in six days and then established Himself above the Throne. He knows what penetrates into the earth and what emerges from it and what descends from the heaven and what ascends therein; and He is with you wherever you are. And Allah, of what you do, is Seeing.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Yeye ndiye aliye ziumba mbingu na ardhi katika siku sita; kisha akakaa vyema juu ya enzi. Anayajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na yanayo panda humo. Naye yu pamoja nanyi popote mlipo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuyaona mnayo yatenda.


English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Hadid


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na ama Thamudi tuliwaongoza, lakini walipenda upofu kuliko uwongofu. Basi uliwachukua moto wa adhabu ya
  2. Akasema: Mola wangu Mlezi nijaalie Ishara. Akasema Ishara yako ni kuwa hutasema na watu kwa
  3. Au mkasema: Lau kuwa tumeteremshiwa sisi Kitabu tungeli kuwa waongofu zaidi kuliko wao. Basi imekufikieni
  4. Na mcheni aliye kuumbeni nyinyi na vizazi vilivyo tangulia.
  5. Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!
  6. Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
  7. Watapata watakacho taka kwa Mola wao Mlezi. Hayo ndiyo malipo ya watendao mema.
  8. Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
  9. Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walio amini, lakini hawadanganyi ila nafsi zao; nao hawatambui.
  10. Wanaonyeshwa Moto asubuhi na jioni. Na itapo fika Saa ya Kiyama patasemwa: Waingizeni watu wa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hadid with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hadid mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hadid Complete with high quality
Surah Hadid Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hadid Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hadid Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hadid Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hadid Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hadid Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hadid Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hadid Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hadid Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hadid Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hadid Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hadid Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hadid Al Hosary
Al Hosary
Surah Hadid Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hadid Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, April 7, 2025

Please remember us in your sincere prayers