Surah Yusuf aya 108 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Yusuf aya 108 in arabic text(Joseph).
  
   
ayat 108 from Surah Yusuf

﴿قُلْ هَٰذِهِ سَبِيلِي أَدْعُو إِلَى اللَّهِ ۚ عَلَىٰ بَصِيرَةٍ أَنَا وَمَنِ اتَّبَعَنِي ۖ وَسُبْحَانَ اللَّهِ وَمَا أَنَا مِنَ الْمُشْرِكِينَ
[ يوسف: 108]

Sema: Hii ndiyo Njia yangu - ninalingania kwa Mwenyezi Mungu kwa kujua - mimi na wanao nifuata. Na ametakasika Mwenyezi Mungu! Wala mimi si katika washirikina.

Surah Yusuf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Say, "This is my way; I invite to Allah with insight, I and those who follow me. And exalted is Allah; and I am not of those who associate others with Him."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Sema: Hii ndiyo Njia yangu - ninalingania kwa Mwenyezi Mungu kwa kujua - mimi na wanao nifuata. Na ametakasika Mwenyezi Mungu! Wala mimi si katika washirikina.


Ewe Muhammad! Wazindue mwisho wa uwezo wako, na waonyeshe hadi ya juhudi yako, uwaambie: Huu ndio Mwendo wangu na Njia yangu. Nawaita watu wafuate Njia ya Mwenyezi Mungu. Na mimi nimethibiti katika hili jambo langu, na kadhalika anayaitia hayo kila mwenye kunifuata na akaiamini sharia yangu. Na namtakasa Mwenyezi Mungu Subhanahu na kila kisicho kuwa laiki yake. Wala mimi simshirikishi Yeye na kitu chochote.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 108 from Yusuf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na kwa yakini tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo.
  2. Na waonye kwayo wanao ogopa kuwa watakusanywa kwa Mola wao Mlezi, hali kuwa hawana mlinzi
  3. Enyi watu wangu! Sikuombeni ujira kwa ajili ya haya. Haukuwa ujira wangu ila kwa Yule
  4. Mkiwaomba hawasikii maombi yenu; na hata wakisikia hawakujibuni. Na Siku ya Kiyama watakataa ushirikina wenu.
  5. Ila wale walio tubu na wakatengeneza na wakabainisha, basi hao nitapokea toba yao, na Mimi
  6. Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
  7. Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri
  8. Na wale walio hama kwa ajili ya Mwenyezi Mungu baada ya kudhulumiwa, bila ya shaka
  9. Amekuharimishieni nyamafu tu, na damu, na nyama ya nguruwe, na mnyama aliye chinjwa kwa ajili
  10. Kiyama kimekaribia!

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Yusuf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Yusuf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yusuf Complete with high quality
Surah Yusuf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Yusuf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Yusuf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Yusuf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Yusuf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Yusuf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Yusuf Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Yusuf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Yusuf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Yusuf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Yusuf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Yusuf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Yusuf Al Hosary
Al Hosary
Surah Yusuf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Yusuf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, May 13, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب