Surah Al Imran aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Imran aya 41 in arabic text(The Family of Imraan).
  
   

﴿قَالَ رَبِّ اجْعَل لِّي آيَةً ۖ قَالَ آيَتُكَ أَلَّا تُكَلِّمَ النَّاسَ ثَلَاثَةَ أَيَّامٍ إِلَّا رَمْزًا ۗ وَاذْكُر رَّبَّكَ كَثِيرًا وَسَبِّحْ بِالْعَشِيِّ وَالْإِبْكَارِ
[ آل عمران: 41]

Akasema: Mola wangu Mlezi! Niwekee alama. Akasema: Alama yako ni kuwa hutasema na watu kwa siku tatu, isipo kuwa kwa kuashiria tu. Na mdhukuru Mola Mlezi wako kwa wingi na mtakase jioni na asubuhi.

Surah Al Imran in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


He said, "My Lord, make for me a sign." He Said, "Your sign is that you will not [be able to] speak to the people for three days except by gesture. And remember your Lord much and exalt [Him with praise] in the evening and the morning."


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Akasema: Mola wangu Mlezi! Niwekee alama. Akasema: Alama yako ni kuwa hutasema na watu kwa siku tatu, isipo kuwa kwa kuashiria tu. Na mdhukuru Mola Mlezi wako kwa wingi na mtakase jioni na asubuhi.


Zakariya akamwomba Mola wake Mlezi amfanyie alama ya kuhakikisha bishara hii. Mwenyezi Mungu akamjibu: Alama yako ni kuwa hutaweza kusema na watu muda wa siku tatu, isipo kuwa utatumia ishara tu kuashiria utakacho. Na shikamana na dhikri ya Mwenyezi Mungu ukimtakasa na kumtukuza jioni na asubuhi.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 41 from Al Imran


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
    Surah Al Imran Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Al Imran Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Al Imran Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Al Imran Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Al Imran Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Al Imran Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Al Imran Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Al Imran Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Al Imran Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Al Imran Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Al Imran Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Al Imran Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Al Imran Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Al Imran Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Al Imran Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Wednesday, June 25, 2025

    Please remember us in your sincere prayers