Surah Naziat aya 41 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِنَّ الْجَنَّةَ هِيَ الْمَأْوَىٰ﴾
[ النازعات: 41]
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
Surah An-Naziat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then indeed, Paradise will be [his] refuge.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
Basi huyo nyumba ya neema ya Peponi ndio makaazi yake, wala hana penginepo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hatukuviumba hivyo ila kwa Haki, lakini wengi wao hawajui.
- Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu kama ipasavyo kumcha; wala msife ila nanyi ni Waislamu.
- Kama shaba iliyo yayushwa, hutokota matumboni
- Na hakuna chochote ila asili yake inatokana na Sisi; wala hatukiteremshi ila kwa kipimo maalumu.
- Je! Hawajifikirii nafsi zao? Mwenyezi Mungu hakuumba mbingu na ardhi na viliomo ndani yake ila
- Kisha akaifuata njia.
- Akasema: Hebu nini amri yenu, enyi wajumbe?
- Enyi watu! Kuleni vilivyomo katika ardhi, halali na vizuri, wala msifuate nyayo za Shet'ani. Hakika
- Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira mkubwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naziat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naziat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naziat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



