Surah Furqan aya 39 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَكُلًّا ضَرَبْنَا لَهُ الْأَمْثَالَ ۖ وَكُلًّا تَبَّرْنَا تَتْبِيرًا﴾
[ الفرقان: 39]
Na wote tuliwapigia mifano, na wote tuliwaangamiza kabisa kabisa.
Surah Al-Furqan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And for each We presented examples [as warnings], and each We destroyed with [total] destruction.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na wote tuliwapigia mifano, na wote tuliwaangamiza kabisa kabisa.
Na Sisi tumezionya kaumu zote hizi. Tukawakumbusha mawaidha, na mifano ya kweli yenye manufaa. Lakini hawakuwaidhika. Tukawashika wote kwa kuwaadhibu, tukawahiliki, na tukayabomoa majumba yao mpaka kifusi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi, je! Wanangojea jingine ila kama yaliyo tokea siku za watu walio pita kabla yao?
- Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi
- Na hakika tulimpa Musa Kitabu, lakini pakatokea khitilafu kati yake. Na lau kuwa halikwisha tangulia
- Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
- Na ambao wanayaamini yaliyo teremshwa kwako, na yaliyo teremshwa kabla yako; na Akhera wana yakini
- Si dhambi juu ya walio amini na wakatenda mema kwa walivyo vila (zamani) maadamu wakichamngu
- Na Mwenyezi Mungu ameumba kila kinyama kutokana na maji. Wengine katika wao huenda kwa matumbo
- Hakika tumekuteremshia Ishara zilizo wazi na hapana wanao zikataa ila wapotovu.
- Hakika Sisi tunahuisha na tunafisha, na kwetu Sisi ndio marejeo.
- Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Furqan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Furqan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Furqan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



