Surah Hajj aya 20 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يُصْهَرُ بِهِ مَا فِي بُطُونِهِمْ وَالْجُلُودُ﴾
[ الحج: 20]
Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
Surah Al-Hajj in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
By which is melted that within their bellies and [their] skins.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
Yatawapenya mpaka kwenye matumbo yao, viliomo ndani viyayuke kama zitavyo yayuka ngozi zao!
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi usiwe na shaka juu ya wanayo yaabudu hao. Hawaabudu ila kama walivyo abudu baba
- Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
- Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
- Na katika Ishara zake ni kulala kwenu usiku na mchana, na kutafuta kwenu fadhila zake.
- Na tumekuteremshia wewe, kwa haki, Kitabu hichi kinacho sadikisha yaliyo kuwa kabla yake katika Vitabu
- Ambao walisubiri, na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho wa wakosefu.
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.
- IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza.
- Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers