Surah Sad aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَاذْكُرْ إِسْمَاعِيلَ وَالْيَسَعَ وَذَا الْكِفْلِ ۖ وَكُلٌّ مِّنَ الْأَخْيَارِ﴾
[ ص: 48]
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And remember Ishmael, Elisha and Dhul-Kifl, and all are among the outstanding.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na mkumbuke Ismail na Alyasaa na Dhulkifli, na wote hao ni katika walio bora.
Na mkumbuke Ismail, na Alyasaa, na Dhalkifli - na wote hao ni miongoni mwa walio bora.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha Sisi huwaokoa Mitume wetu na walio amini. Ndio kama hivyo, inatustahiki kuwaokoa Waumini.
- Watayapata humo wayatakayo daima dawamu. Hii ni ahadi juu ya Mola wako Mlezi, inayo ombwa.
- Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
- Onjeni adhabu yenu! Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyahimiza.
- Nao hawakuona baya lolote kwao ila kuwa wakimuamini Mwenyezi Mungu, Mwenye nguvu, Msifiwa,
- Basi anaye penda akumbuke.
- Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
- Sema: Mwenyezi Mungu anakuhuisheni, kisha anakufisheni, kisha anakukusanyeni Siku ya Kiyama isiyo na shaka. Lakini
- Watadumu humo; hawatataka kuondoka.
- Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



