Surah Tawbah aya 108 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Tawbah aya 108 in arabic text(The Repentance).
  
   

﴿لَا تَقُمْ فِيهِ أَبَدًا ۚ لَّمَسْجِدٌ أُسِّسَ عَلَى التَّقْوَىٰ مِنْ أَوَّلِ يَوْمٍ أَحَقُّ أَن تَقُومَ فِيهِ ۚ فِيهِ رِجَالٌ يُحِبُّونَ أَن يَتَطَهَّرُوا ۚ وَاللَّهُ يُحِبُّ الْمُطَّهِّرِينَ
[ التوبة: 108]

Usisimame kwenye msikiti huo kabisa. Msikiti ulio jengwa juu ya msingi wa uchamngu tangu siku ya mwanzo unastahiki zaidi wewe usimame ndani yake. Humo wamo watu wanao penda kujitakasa. Na Mwenyezi Mungu anawapenda wanao jitakasa.

Surah At-Tawbah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Do not stand [for prayer] within it - ever. A mosque founded on righteousness from the first day is more worthy for you to stand in. Within it are men who love to purify themselves; and Allah loves those who purify themselves.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Usisimame kwenye msikiti huo kabisa. Msikiti ulio jengwa juu ya msingi wa uchamngu tangu siku ya mwanzo unastahiki zaidi wewe usimame ndani yake. Humo wamo watu wanao penda kujitakasa. Na Mwenyezi Mungu anawapenda wanao jitakasa.


Ewe Mtume! Usisali kabisa katika msikiti huo. Msikiti unao faa kupata rehema za Mwenyezi Mungu na radhi zake tangu mwanzo kama Masjid Qubaa ndio unao stahiki kusimamishwa ndani yake ibada za Mwenyezi Mungu. Katika msikiti huo wamo watu wanao penda kujinadhifisha miili yao na nyoyo zao kwa kutekeleza ibada zilizo sawa. Na Mwenyezi anawapenda na anawalipa thawabu wanao jikaribisha kwake kwa kujitahirisha nje na ndani, kiwiliwili na kiroho.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 108 from Tawbah


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Tawbah with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Tawbah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Tawbah Complete with high quality
    Surah Tawbah Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Tawbah Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Tawbah Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Tawbah Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Tawbah Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Tawbah Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Tawbah Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Tawbah Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Tawbah Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Tawbah Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Tawbah Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Tawbah Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Tawbah Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Tawbah Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Tawbah Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Monday, June 23, 2025

    Please remember us in your sincere prayers