Surah Al-Haqqah aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al-Haqqah aya 7 in arabic text(The Sure Reality).
  
   

﴿سَخَّرَهَا عَلَيْهِمْ سَبْعَ لَيَالٍ وَثَمَانِيَةَ أَيَّامٍ حُسُومًا فَتَرَى الْقَوْمَ فِيهَا صَرْعَىٰ كَأَنَّهُمْ أَعْجَازُ نَخْلٍ خَاوِيَةٍ﴾
[ الحاقة: 7]

Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.

Surah Al-Haqqah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Which Allah imposed upon them for seven nights and eight days in succession, so you would see the people therein fallen as if they were hollow trunks of palm trees.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Alio wapelekea masiku saba, na siku nane, mfululizo bila ya kusita. Utaona watu wamepinduka kama kwamba ni magongo ya mitende yalio wazi ndani.


Mwenyezi Mungu aliwasalitisha nao muda wa masiku saba, na siku nane zilizo fuatana mfululizo, utaona walio patikana na upepo huo wamekuwa maiti kama magogo ya mitende yaliyo kuwa matupu ndani yake. (-Masiku- ni wingi wa -Usiku-; -Siku- wingi wake ni -Siku- vile vile.)

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Al-Haqqah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika wale wanao mkataa Mwenyezi Mungu na Mitume wake, na wanataka kufarikisha baina ya Mwenyezi
  2. Watu wa Peponi siku hiyo watakuwa katika makaazi bora na mahali penye starehe nzuri.
  3. Basi waachilie mbali kwa muda.
  4. Kisha kwa yakini tutawatoa katika kila kundi wale miongoni mwao walio zidi kumuasi Arrahmani, Mwingi
  5. Kwani hawaoni kwamba Mwenyezi Mungu humkunjulia riziki amtakaye na humdhikisha amtakaye? Hakika katika hayo zipo
  6. Umekwisha itimiliza ndoto. Hakika hivi ndivyo tunavyo walipa wanao tenda mema.
  7. Na pia wale watatu walio achwa nyuma hata dunia wakaiona dhiki juu ya ukunjufu wake,
  8. Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
  9. Sema: Enyi mlio Mayahudi! Ikiwa nyinyi mnadai kuwa ni vipenzi vya Mwenyezi Mungu pasipo kuwa
  10. Je, mlidhani kuwa mtaachwa tu, bila ya Mwenyezi Mungu kuwajuulisha wale walio pigana Jihadi kati

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al-Haqqah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al-Haqqah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al-Haqqah Complete with high quality
Surah Al-Haqqah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al-Haqqah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al-Haqqah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al-Haqqah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al-Haqqah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al-Haqqah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al-Haqqah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al-Haqqah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al-Haqqah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al-Haqqah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al-Haqqah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al-Haqqah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al-Haqqah Al Hosary
Al Hosary
Surah Al-Haqqah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al-Haqqah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, April 3, 2026

Please remember us in your sincere prayers