Surah Waqiah aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ﴾
[ الواقعة: 48]
Au baba zetu wa zamani?
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And our forefathers [as well]?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au baba zetu wa zamani?
Ati tutafufuliwa sisi na baba zetu wa zamani walio kwisha kuwa udongo ulio tapanyika na umepotea katika ardhi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na pale tulipomweka Ibrahim pahala penye ile Nyumba tukamwambia: Usinishirikishe na chochote; na isafishe Nyumba
- Basi Subhanallah! Mtakaseni Mwenyezi Mungu jioni na asubuhi,
- Na itupe fimbo yako! Alipo iona ikitikisika kama nyoka, aligeuka nyuma wala hakungoja. Ewe Musa!
- Na nani aliye dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzulia Mwenyezi Mungu uwongo? Hao watahudhurishwa mbele
- Ndio hivyo hivyo. Na Sisi tulizijua vilivyo khabari zake zote.
- Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
- Tena rudisha nadhari mara mbili, nadhari yako itakurejea mwenyewe hali ya kuwa imehizika nayo imechoka.
- Akaitupa. Mara ikawa nyoka anaye kwenda mbio.
- Na Daud na Suleiman walipo kata hukumu katika kadhiya ya konde walipo lisha humo mbuzi
- Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers