Surah Waqiah aya 48 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَوَآبَاؤُنَا الْأَوَّلُونَ﴾
[ الواقعة: 48]
Au baba zetu wa zamani?
Surah Al-Waqiah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And our forefathers [as well]?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Au baba zetu wa zamani?
Ati tutafufuliwa sisi na baba zetu wa zamani walio kwisha kuwa udongo ulio tapanyika na umepotea katika ardhi?
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
- Kisha bila ya shaka mtagombana Siku ya Kiyama mbele ya Mola wenu Mlezi.
- Na tukimwonjesha mtu rehema inayo toka kwetu, kisha tukamwondolea, hukata tamaa akakufuru.
- Na hakika nyinyi mnawapitia wakati wa asubuhi,
- Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.
- Basi leo walio amini ndio watawacheka makafiri,
- Na ndugu yangu Harun ni fasihi zaidi ulimi wake kuliko mimi. Basi mtume ende nami
- Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.
- Na wanawake walio achwa wapewe cha kuwaliwaza kwa mujibu wa Sharia. Haya ni waajibu kwa
- Na tukamuandikia katika mbao kila kitu, mawaidha na maelezo ya mambo yote. (Tukamwambia): Basi yashike
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Waqiah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Waqiah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Waqiah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers