Surah Munafiqun aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Munafiqun aya 7 in arabic text(The Hypocrites).
  
   

﴿هُمُ الَّذِينَ يَقُولُونَ لَا تُنفِقُوا عَلَىٰ مَنْ عِندَ رَسُولِ اللَّهِ حَتَّىٰ يَنفَضُّوا ۗ وَلِلَّهِ خَزَائِنُ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَلَٰكِنَّ الْمُنَافِقِينَ لَا يَفْقَهُونَ
[ المنافقون: 7]

Hao ndio wanao sema: Msitoe mali kwa ajili ya walioko kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, ili waondokelee mbali! Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye khazina za mbingu na ardhi, lakini wanaafiki hawafahamu.

Surah Al-Munafiqun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They are the ones who say, "Do not spend on those who are with the Messenger of Allah until they disband." And to Allah belongs the depositories of the heavens and the earth, but the hypocrites do not understand.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hao ndio wanao sema: Msitoe mali kwa ajili ya walioko kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu, ili waondokelee mbali! Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye khazina za mbingu na ardhi, lakini wanaafiki hawafahamu.


Hao wanaafiki ndio wanao waambia watu wa Madina: Msitoe chochote kuwapa hao Waumini walio na Mtume wa Mwenyezi Mungu ili wapate kumwacha! Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye khazina zote za mbinguni na duniani, na riziki zote ziliomo humo. Lakini wanaafiki hawajui hayo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 7 from Munafiqun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wale wasio mwomba mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu, wala hawaui nafsi aliyo iharimisha
  2. Watasema: Walikuwa watatu, wa nne wao ni mbwa wao. Na wanasema: Walikuwa watano, wa sita
  3. Kwani wewe hakika huwafanyi maiti wakasikia, wala viziwi wakasikia wito wakisha geuka kukupa mgongo.
  4. Wakasema: Sisi tutamrairai baba yake; na bila ya shaka tutafanya hayo.
  5. Na watu wa Motoni watawaita watu wa Peponi: Tumimieni maji, au chochote alicho kuruzukuni Mwenyezi
  6. Lakini walio mcha Mola wao Mlezi watapata Mabustani yanayo pita mito kati yake. Watadumu humo.
  7. Yeye ndiye anaye kuonyesheni Ishara zake, na anakuteremshieni kutoka mbinguni riziki. Na hapana anaye kumbuka
  8. Na yakakusanywa yaliomo vifuani?
  9. Isa alipo hisi kuwa kati yao pana ukafiri alisema: Nani wasaidizi wangu kwa Mwenyezi Mungu?
  10. SOMA uliyo funuliwa katika Kitabu, na ushike Sala. Hakika Sala inazuilia mambo machafu na maovu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Munafiqun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Munafiqun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Munafiqun Complete with high quality
Surah Munafiqun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Munafiqun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Munafiqun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Munafiqun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Munafiqun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Munafiqun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Munafiqun Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Munafiqun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Munafiqun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Munafiqun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Munafiqun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Munafiqun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Munafiqun Al Hosary
Al Hosary
Surah Munafiqun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Munafiqun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, June 5, 2025

Please remember us in your sincere prayers