Surah Quraysh aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍ وَآمَنَهُم مِّنْ خَوْفٍ﴾
[ قريش: 4]
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Surah Quraysh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who has fed them, [saving them] from hunger and made them safe, [saving them] from fear.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Ambaye anawalisha wasione njaa, na hali wao wamo katika bonde lisio na makulima, na akawalinda na khofu na watu wengine pembezoni mwao wananyakuliwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Naye tukampa Is-haq, na Yaaqub kuwa ni ziada. Na wote tukawajaalia wawe watu wema.
- Na wakasema: Tukiufuata uwongofu huu pamoja nawe tutanyakuliwa kutoka nchi yetu. Je! Kwani Sisi hatukuwaweka
- Haimpasii Nabii na wale walio amini kuwatakia msamaha washirikina, ijapo kuwa ni jamaa zao, baada
- Na wakumbuke waja wetu, Ibrahim na Is-haqa na Yaa'qubu walio kuwa na nguvu na busara.
- Basi ukawafikia uovu wa waliyo yatenda, na waliyo kuwa wakiyakejeli yakawazunguka.
- Au wanataka kufanya vitimbi tu? Lakini hao walio kufuru ndio watakao tegeka.
- Na inapo wajia Ishara, wao husema: Hatutoamini mpaka tupewe mfano wa walio pewa Mitume wa
- Na nini kitakujuulisha nini hilo Tukio la haki?
- Je! Huoni ya kwamba Mwenyezi Mungu huyasukuma mawingu, kisha huyaambatisha, kisha huyafanya mirundi? Basi utaona
- Wakasema: Ewe Musa! Sisi hatutaingia humo kamwe maadamu wao wamo humo. Basi nenda wewe na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Quraysh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Quraysh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Quraysh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Abdul Rashid Sufi
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers