Surah Quraysh aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍ وَآمَنَهُم مِّنْ خَوْفٍ﴾
[ قريش: 4]
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Surah Quraysh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who has fed them, [saving them] from hunger and made them safe, [saving them] from fear.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Ambaye anawalisha wasione njaa, na hali wao wamo katika bonde lisio na makulima, na akawalinda na khofu na watu wengine pembezoni mwao wananyakuliwa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye.
- Akasema: Je, hivyo mimi nizae, na hali yangu ni kikongwe na huyu mume wangu ni
- La! Karibu watakuja jua.
- Na hawa hawangojei ila ukelele mmoja tu usio na muda.
- Basi wapo miongoni mwao waliyo yaamini, na wapo walio yakataa. Na Jahannamu yatosha kuwa ni
- Sema: Mwaonaje yakiwa haya ni kweli yametoka kwa Mwenyezi Mungu, nanyi mmeyakataa, na akashuhudia shahidi
- Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.
- Ni kama mfano wa walio kuwa kabla yao hivi karibuni. Walionja uovu wa mambo yao.
- Hakika katika hayo yapo mazingatio. Na kwa yakini Sisi ni wenye kuwafanyia mtihani.
- Na aliye ileta Kweli na akaithibitisha - hao ndio wachamngu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Quraysh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Quraysh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Quraysh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers