Surah Quraysh aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِي أَطْعَمَهُم مِّن جُوعٍ وَآمَنَهُم مِّنْ خَوْفٍ﴾
[ قريش: 4]
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Surah Quraysh in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Who has fed them, [saving them] from hunger and made them safe, [saving them] from fear.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Ambaye anawalisha wasione njaa, na hali wao wamo katika bonde lisio na makulima, na akawalinda na khofu na watu wengine pembezoni mwao wananyakuliwa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!
- Na enyi watu wangu! Kwa nini mimi nakuiteni kwenye uwokofu, nanyi mnaniita kwenye Moto?
- Na makhazina, na vyeo vya hishima,
- Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.
- Kisha tukamtuma Musa na nduguye, Haaruni, pamoja na ishara zetu na hoja zilizo wazi.
- Atakaye tenda wema atapata malipo bora kuliko huo wema alio utenda. Na atakaye tenda uovu,
- Na hakika tumekuteremshieni Kitabu ambacho ndani yake yamo makumbusho yenu. Je! Hamzingatii?
- Na Firauni akasema: Ewe Hamana! Nijengee mnara ili nipate kuzifikia njia,
- Na enyi watu wangu! Ni nani atakaye nisaidia kwa Mwenyezi Mungu nikiwafukuza hawa? Basi je,
- Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Quraysh with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Quraysh mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Quraysh Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



