Surah Yasin aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿تَنزِيلَ الْعَزِيزِ الرَّحِيمِ﴾
[ يس: 5]
Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
Surah Ya-Sin in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
[This is] a revelation of the Exalted in Might, the Merciful,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Uteremsho wa Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
Ni mteremsho wa Mwenye nguvu Mwenye kushinda kila kitu, ambaye hapana mtu awezae kumzuia chochote akitakacho. Mwenye kuwarehemu waja wake, kwa kuwatumia watu wa kuwaongoza njia ya kuokoka.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Niache peke yangu na niliye muumba;
- Wala msiwe kama wale walio toka majumbani mwao kwa fakhari na kujionyesha kwa watu, na
- Mwenyezi Mungu ameifanya Al Kaaba, hii Nyumba Tukufu, ni simamio la watu, na kadhaalika Miezi
- Kama hamwendi atakuadhibuni adhabu chungu, na atawaleta watu wengine, wala nyinyi hamtamdhuru chochote. Na Mwenyezi
- Kwa hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa siri za mbinguni na ardhi. Hakika Yeye ni
- Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
- Siku zitakapo dhihirishwa siri.
- Na ama wale walio bahatika, wao watakuwamo Peponi wakidumu humo muda wa kudumu mbingu na
- Na tungelitaka tungeli mtukuza kwa hizo Ishara, lakini yeye aliushikilia ulimwengu na akafuata pumbao lake.
- Basi alipo fika mbashiri na akaiweka kanzu usoni pake alirejea kuona. Akasema: Je! Sikukwambieni kuwa
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yasin with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yasin mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yasin Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



