Surah An Naba aya 18 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا﴾
[ النبأ: 18]
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
Surah An-Naba in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
The Day the Horn is blown and you will come forth in multitudes
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
Siku litakapo pulizwa barugumu na kufufuliwa watu, mtakuja kwenye mkutano makundi kwa makundi.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike
- Hakika wachamngu watakuwa na Bustani za neema kwa Mola wao Mlezi.
- Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru:
- Hapo mbingu zitapasuka! Ahadi yake itakuwa imetekelezwa.
- Kisha atakurudsheni humo na atakutoeni tena.
- Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
- Enyi mlio amini! Nawakutakeni idhini iliyo wamiliki mikono yenu ya kulia na walio bado kubaalighi
- Basi warudisheni baba zetu, ikiwa nyinyi mnasema kweli.
- Jambo litokalo kwetu. Hakika Sisi ndio wenye kutuma.
- Na ili walio pewa ilimu wajue kuwa hayo ni Haki itokayo kwa Mola wako Mlezi
Quran Surah in Swahili :
Download Surah An Naba with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah An Naba mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter An Naba Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



