Surah Maarij aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Maarij aya 4 in arabic text(The Ways of Ascent).
  
   

﴿تَعْرُجُ الْمَلَائِكَةُ وَالرُّوحُ إِلَيْهِ فِي يَوْمٍ كَانَ مِقْدَارُهُ خَمْسِينَ أَلْفَ سَنَةٍ﴾
[ المعارج: 4]

Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!

Surah Al-Maarij in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


The angels and the Spirit will ascend to Him during a Day the extent of which is fifty thousand years.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!


Malaika na Jibrili wanapanda kwenda kunako toka amri yake kwa siku ambayo urefu wake ni miaka khamsini elfu kwa mujibu wa hisabu ya miaka ya duniani.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 4 from Maarij


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ndio kama hivi tunawaelekeza madhaalimu wapendane wao kwa wao kwa sababu ya waliyo kuwa wakiyachuma.
  2. Anaye mkataa Mwenyezi Mungu baada ya kuamini kwake - isipo kuwa aliye lazimishwa na hali
  3. Na kaumu ngapi tuliziangamiza zilizo kuwa na mapambo mazuri zaidi na wazuri zaidi kwa kuwatazama!
  4. Sema: Tembeeni ulimwenguni, kisha mtazame ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.
  5. Basi hao huenda Mwenyezi Mungu akawasamehe. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, Mwingi wa
  6. Na lau ungeli ona watapo babaika, basi hapana pa kukimbilia! Na watakamatwa mahala pa karibu.
  7. Mnadhani kuwa mtaingia Peponi, bila ya kukujieni kama yaliyo wajia wale walio pita kabla yenu?
  8. Na Muhammad hakuwa ila ni Mtume tu. Wamekwisha pita kabla yake Mitume. Je, akifa au
  9. Basi yatima usimwonee!
  10. Kwani hakika hao ni adui zangu, isipo kuwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Maarij with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Maarij mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Maarij Complete with high quality
Surah Maarij Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Maarij Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Maarij Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Maarij Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Maarij Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Maarij Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Maarij Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Maarij Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Maarij Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Maarij Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Maarij Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Maarij Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Maarij Al Hosary
Al Hosary
Surah Maarij Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Maarij Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, September 15, 2025

Please remember us in your sincere prayers