Surah Duha aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَسَوْفَ يُعْطِيكَ رَبُّكَ فَتَرْضَىٰ﴾
[ الضحى: 5]
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
Surah Ad-Dhuha in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And your Lord is going to give you, and you will be satisfied.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
Na ninaapa kuwa bila ya shaka hapo Mola wako Mlezi atakupa kheri za duniani na Akhera hata utaridhia.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tazama vipi wanavyo kupigia mifano. Basi wamepotea. Kwa hivyo hawawezi kuipata njia.
- Wala msinunue ahadi ya Mwenyezi Mungu kwa thamani ndogo. Hakika kilichoko kwa Mwenyezi Mungu ndicho
- Watapata watakacho taka kwa Mola wao Mlezi. Hayo ndiyo malipo ya watendao mema.
- Basi wale wajumbe walipo fika kwa Luut'i,
- Au hizo akili zao ndio zinawaamrisha haya, au wao basi ni watu majeuri tu?
- Na kwamba hakika Yeye ndiye Mola Mlezi wa nyota ya Shii'ra.
- Na katika watu, wako wasemao: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, wala wao si
- Je! Mnadhani mtaingia Peponi na hali Mwenyezi Mungu hajawapambanua wale miongoni mwenu walio pigana Jihadi,
- Ambao watairithi Pepo ya Firdausi, wadumu humo.
- Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Duha with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Duha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Duha Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers