Surah Ad Dukhaan aya 22 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَدَعَا رَبَّهُ أَنَّ هَٰؤُلَاءِ قَوْمٌ مُّجْرِمُونَ﴾
[ الدخان: 22]
Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
Surah Ad-Dukhaan in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And [finally] he called to his Lord that these were a criminal people.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
Musa akamwambia Mola wake Mlezi kwa kumshitakia watu wake alipo kata tamaa nao kuwa hawaamini: Hakika watu hawa shauri yao imekwisha fika ukomo katika ukafiri; basi Wewe wafanyie wanalo stahiki.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kila kitu Sisi tumekidhibiti kwa kukiandika.
- Mwenyezi Mungu anataka kukubainishieni na kukuongozeni nyendo za walio kuwa kabla yenu, na akurejezeni kwenye
- Wakizikataa neema tulizo wapa. Basi stareheni. Mtakuja jua!
- Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi
- Wakasema: Hatutokukhiari wewe kuliko ishara waziwazi zilizo tujia, na kuliko yule aliye tuumba. Basi hukumu
- (Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.
- Kisha tukawafanya kuwa watangulizi na mfano kwa wa baadaye.
- Na wale wanao jitenga na wake zao, kisha wakarudia katika yale waliyo yasema, basi wamkomboe
- Basi alipo ufikia akaitwa: Ewe Musa!
- Basi alimwonyesha Ishara kubwa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



