Surah Duha aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَآوَىٰ﴾
[ الضحى: 6]
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
Surah Ad-Dhuha in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Did He not find you an orphan and give [you] refuge?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
Kwani hakukukuta wewe yatima unahitaji wa kukutunza naye akakupa makaazi ya kukuhifadhi kwa mwenye kukuangalia vyema kwa mambo yako?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Malaika wakat'ii wote pamoja.
- Hapana nafsi ila inayo mwangalizi.
- Huo ndio mwisho wao wa ujuzi. Hakika Mola wako Mlezi ndiye anaye mjua zaidi mwenye
- Hautokei msiba katika ardhi wala katika nafsi zenu ila umekwisha andikwa katika Kitabu kabla hatujauumba.
- Sema: Tembeeni ulimwenguni, kisha mtazame ulikuwaje mwisho wa wanao kanusha.
- (Mwenyezi Mungu) anajua khiyana ya macho na yanayo ficha vifua.
- Humuadhibu amtakaye, na humrehemu amtakaye. Na kwake Yeye mtapelekwa.
- Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kwa udongo. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote
- Wakasema: Tunaabudu masanamu, daima tunayanyenyekea.
- Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu hiki kwa Haki. Basi muabudu Mwenyezi Mungu ukimsafia Dini Yeye tu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Duha with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Duha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Duha Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



