Surah Duha aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿أَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَآوَىٰ﴾
[ الضحى: 6]
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
Surah Ad-Dhuha in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Did He not find you an orphan and give [you] refuge?
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
Kwani hakukukuta wewe yatima unahitaji wa kukutunza naye akakupa makaazi ya kukuhifadhi kwa mwenye kukuangalia vyema kwa mambo yako?
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Tena tukafuatisha nyuma yao Mitume wengine, na tukamfuatisha Isa bin Mariamu, na tukampa Injili. Na
- Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
- Na hali Mwenyezi Mungu ndiye aliye kuumbeni nyinyi na hivyo mnavyo vifanya!
- Hakika wale walio kufuru ni sawa kwao ukiwaonya au usiwaonye, hawaamini.
- Unaangamiza kila kitu kwa amri ya Mola wake Mlezi. Wakawa hawaonekani ila nyumba zao tu.
- Na walio kufuru wataongozwa kuendea Jahannamu kwa makundi. Mpaka watakapo ifikia itafunguliwa milango yake, na
- Huko utapigwa ukelele mmoja tu! Na hapo ndio wataona!
- Na hakika walio dhulumu watapata adhabu nyengine isiyo kuwa hii, lakini wengi wao hawajui.
- Basi wana nini hawaamini?
- Je! Mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji?
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Duha with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Duha mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Duha Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



