Surah Qasas aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ مِن قَبْلِهِ هُم بِهِ يُؤْمِنُونَ﴾
[ القصص: 52]
Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
Surah Al-Qasas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those to whom We gave the Scripture before it - they are believers in it.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
Wale ambao tuliwateremshia Taurati na Injili kabla ya kuteremka Qurani, na wakaviamini vitabu hivyo viwili, na wakasadiki yaliyo tajwa humo juu ya khabari za Muhammad na Kitabu chake, hao wanamuamini Muhammad na Kitabu chake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wanazungushiwa kikombe chenye kinywaji cha chemchem
- IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza.
- Hao wanawake kama mayai yaliyo hifadhika.
- Akasema: Kwa kuwa umenihukumia upotofu, basi nitawavizia katika Njia yako Iliyo Nyooka.
- Na najikinga kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie.
- Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
- Na katika hao mnayo manufaa kadhaa wa kadhaa, na mnapata kwao haja ziliomo vifuani mwenu;
- Nuun. Naapa kwa kalamu na yale wayaandikayo,
- Huwaoni wale walio fanya urafiki na watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia? Hao si katika nyinyi,
- Fuateni mliyo teremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu, wala msifuate rafiki au walinzi wengine badala
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers