Surah Qasas aya 52 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿الَّذِينَ آتَيْنَاهُمُ الْكِتَابَ مِن قَبْلِهِ هُم بِهِ يُؤْمِنُونَ﴾
[ القصص: 52]
Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
Surah Al-Qasas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Those to whom We gave the Scripture before it - they are believers in it.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wale tulio wapa Kitabu kabla yake wanakiamini hiki.
Wale ambao tuliwateremshia Taurati na Injili kabla ya kuteremka Qurani, na wakaviamini vitabu hivyo viwili, na wakasadiki yaliyo tajwa humo juu ya khabari za Muhammad na Kitabu chake, hao wanamuamini Muhammad na Kitabu chake.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi Thamudi waliangamizwa kwa balaa kubwa mno.
- H'a Mim
- Ewe baba yangu! Kwa yakini imenifikia ilimu isiyo kufikia wewe. Basi nifuate mimi, nami nitakuongoza
- Na ambao pindi wafanyapo uchafu au wakajidhulumu nafsi zao humkumbuka Mwenyezi Mungu na wakamwomba msamaha
- Ili awalipe walio amini na wakatenda mema kutokana na fadhila yake. Hakika Yeye hawapendi makafiri.
- Lakini makundi yakakhitalifiana wao kwa wao. Basi ole wao hao walio kufuru kwa kuhudhuria Siku
- Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
- Wakasema: Wallahi! Mnajua vyema kwamba sisi hatukuja kufanya uharibifu katika nchi hii, wala sisi si
- Na shikeni Sala, na toeni Zaka, na inameni pamoja na wanao inama.
- Watasema: Kwa hakika nyinyi mlikuwa mkitujia upande wa kulia.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers