Surah Zukhruf aya 78 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Zukhruf aya 78 in arabic text(The Gold Adornments).
  
   

﴿لَقَدْ جِئْنَاكُم بِالْحَقِّ وَلَٰكِنَّ أَكْثَرَكُمْ لِلْحَقِّ كَارِهُونَ﴾
[ الزخرف: 78]

Kwa yakini tulikuleteeni Haki, lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia Haki.

Surah Az-Zukhruf in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


We had certainly brought you the truth, but most of you, to the truth, were averse.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa yakini tulikuleteeni Haki, lakini wengi katika nyinyi mlikuwa mnaichukia Haki.


Mwenyezi Mungu Mtukufu atawaambia kwa kuwarudi: Nyinyi alikujilieni Mtume wetu, enyi watu wa Makka, kukuleteeni Dini ya Haki. Wakaamini wachache, na wengi wenu mkakataa. Nao hawaipendi Haki.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 78 from Zukhruf


Ayats from Quran in Swahili

  1. Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi.
  2. Kutokana nayo (ardhi) tumekuumbeni, na humo tunakurudisheni, na kutoka humo tutakutoeni mara nyengine.
  3. Wanapenda lau kuwa nanyi mnge kufuru kama walivyo kufuru wao, ili muwe sawa sawa. Basi
  4. Angalieni! Nyinyi mnaitwa mtumie katika njia ya Mwenyezi Mungu, na wapo katika nyinyi wanao fanya
  5. Mtume ameamini yaliyo teremshwa kwake kutoka kwa Mola Mlezi wake, na Waumini vile vile. Wote
  6. Je, hawakuifikiri kauli, au yamewajia yasiyo wafikia baba zao wa zamani?
  7. Na hakika Mja wa Mwenyezi Mungu alipo simama kumwomba, wao walikuwa karibu kumzonga!
  8. Nani dhaalimu mkubwa kuliko yule anaye mzuliya uwongo Mwenyezi Mungu, au anaye sema: Mimi nimeletewa
  9. Nami nimekuteua wewe; basi sikiliza unayo funuliwa.
  10. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza, mpaka wakiondoka kwako huwauliza walio pewa ilimu: Amesema nini

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Surah Zukhruf Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Zukhruf Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Zukhruf Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Zukhruf Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Zukhruf Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Zukhruf Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Zukhruf Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Zukhruf Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Zukhruf Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Zukhruf Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Zukhruf Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Zukhruf Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Zukhruf Al Hosary
Al Hosary
Surah Zukhruf Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Zukhruf Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 10, 2025

Please remember us in your sincere prayers