Surah Sad aya 54 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ هَٰذَا لَرِزْقُنَا مَا لَهُ مِن نَّفَادٍ﴾
[ ص: 54]
Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, this is Our provision; for it there is no depletion.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika hii ndiyo riziki yetu isiyo malizika.
Hakika haya bila ya shaka ni tunayo yatoa Sisi, na wala hayana ukomo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na waonye siku inayo kurubia, wakati nyoyo zitakapo fika kooni, nao wamejaa huzuni. Madhaalimu hawatakuwa
- Na hakika Sisi bila ya shaka tunajua kwamba miongoni mwenu wapo wanao kadhibisha.
- Kisha nikawatangazia kwa kelele, tena nikasema nao kwa siri.
- Mabedui wamezidi sana katika ukafiri na unaafiki, na wameelekea zaidi kutojua mipaka ya aliyo yateremsha
- Je! Atakaye kuwa anapambana kwa uso wake na adhabu mbaya kabisa Siku ya Kiyama (ni
- Hakika mimi nimeuelekeza uso wangu sawa sawa kwa aliye ziumba mbingu na ardhi, wala mimi
- Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
- Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!
- Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
- Ili Mwenyezi Mungu akusamehe makosa yako yaliyo tangulia na yajayo, na akutimizie neema zake, na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



