Surah Naml aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Naml aya 70 in arabic text(The Ants).
  
   

﴿وَلَا تَحْزَنْ عَلَيْهِمْ وَلَا تَكُن فِي ضَيْقٍ مِّمَّا يَمْكُرُونَ﴾
[ النمل: 70]

Wala usiwahuzunukie wala usiwe katika dhiki kwa sababu ya hila zao wanazo zifanya.

Surah An-Naml in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And grieve not over them or be in distress from what they conspire.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wala usiwahuzunukie wala usiwe katika dhiki kwa sababu ya hila zao wanazo zifanya.


Ewe Mtume! Usiwahuzunukie makafiri wasio kufuata. Kwani kwa hakika waajibu wako ni kufikisha Ujumbe tu. Wala usiwe na dhiki kifuani mwako kwa sababu ya hila zao na vitimbi vyao. Kwani hakika Mwenyezi Mungu atakupa ushindi juu yao.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 70 from Naml


Ayats from Quran in Swahili

  1. Akasema: Enyi watu wangu! Kwani jamaa zangu ni watukufu zaidi kwenu kuliko Mwenyezi Mungu? Na
  2. Wanamuamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho, na wanaamrisha mema na wanakataza maovu na wanakimbilia
  3. Siku tutakapo zikunja mbingu kama mkunjo wa karatasi za vitabu. Kama tulivyo anza umbo la
  4. Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu
  5. Kisha baada yao tukamtuma Musa na Haruni kwa Firauni na waheshimiwa wake, kwa Ishara zetu.
  6. Na kifua changu kina dhiki, na ulimi wangu haukunjuki vyema. Basi mtumie ujumbe Harun.
  7. Na inapo teremshwa Sura isemayo: Muaminini Mwenyezi Mungu na piganeni Jihadi pamoja na Mtume wake,
  8. Hakika Mimi leo nimewalipa kwa vile walivyo subiri. Bila ya shaka hao ndio wenye kufuzu.
  9. Na hatukukuteremshia Kitabu isipo kuwa uwabainishie yale ambayo wanakhitalifiana, na kiwe Uwongofu na Rehema kwa
  10. (Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa Mwingi wa Rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchamngu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Naml with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Naml mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naml Complete with high quality
Surah Naml Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Naml Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Naml Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Naml Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Naml Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Naml Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Naml Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Naml Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Naml Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Naml Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Naml Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Naml Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Naml Al Hosary
Al Hosary
Surah Naml Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Naml Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, December 5, 2025

Please remember us in your sincere prayers