Surah Mumtahina aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Mumtahina aya 6 in arabic text(The Examined One).
  
   

﴿لَقَدْ كَانَ لَكُمْ فِيهِمْ أُسْوَةٌ حَسَنَةٌ لِّمَن كَانَ يَرْجُو اللَّهَ وَالْيَوْمَ الْآخِرَ ۚ وَمَن يَتَوَلَّ فَإِنَّ اللَّهَ هُوَ الْغَنِيُّ الْحَمِيدُ
[ الممتحنة: 6]

Kwa yakini umekuwa mfano mzuri kwenu katika mwendo wao, kwa anaye mtarajia Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na mwenye kugeuka basi hakika Mwnyezi Mungu ni Mwenye kujitosha, Msifiwa.

Surah Al-Mumtahanah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


There has certainly been for you in them an excellent pattern for anyone whose hope is in Allah and the Last Day. And whoever turns away - then indeed, Allah is the Free of need, the Praiseworthy.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Kwa yakini umekuwa mfano mzuri kwenu katika mwendo wao, kwa anaye mtarajia Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na mwenye kugeuka basi hakika Mwnyezi Mungu ni Mwenye kujitosha, Msifiwa.


Enyi Waumini! Bila ya shaka katika Ibrahim na walio kuwa pamoja naye, kipo kiigizo kizuri kwenu kwa vile walivyo wafanyia uadui maadui wa Mwenyezi Mungu. Kiigizo hicho ni kwa mwenye kutaraji kukutana na Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho. Na mwenye kupuuza kufuata haya basi kajidhulumu nafsi yake. Kwani hakika Mwenyezi Mungu si mhitaji wa mwenginewe. Yeye ni Mwenye kustahiki peke yake sifa zote njema.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Mumtahina


Ayats from Quran in Swahili

  1. Wakasema: Ikiwa huyu ameiba, basi nduguye vile vile aliiba zamani. Lakini Yusuf aliyaweka siri moyoni
  2. Ni nani atakaye mkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema, ili amrudishie mardufu, na apate malipo ya
  3. Enyi mlio amini! Msiwafanye rafiki zenu watu ambao Mwenyezi Mungu amewakasirikia. Hao wamekwisha kata tamaa
  4. Enyi mlio amini! Msiharibu sadaka zenu kwa masimbulizi na maudhi, kama anaye toa mali yake
  5. Na pakasemwa: Nani wa kumganga?
  6. Anajua yanayo ingia katika ardhi na yanayo toka humo, na yanayo teremka kutoka mbinguni, na
  7. Waseme: Mola wetu Mlezi! Aliye tusabibisha haya mzidishie adhabu mara mbili Motoni.
  8. Yeye ndiye aliye kuumbeni katika nafsi moja; na katika hiyo hiyo akamfanya mwenzi wake, ili
  9. Ambaye nyuma yake ipo Jahannamu, na atanywishwa maji ya usaha.
  10. Hakika Waumini ni wale ambao anapo tajwa Mwenyezi Mungu nyoyo zao hujaa khofu, na wanapo

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Mumtahina with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Mumtahina mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Mumtahina Complete with high quality
Surah Mumtahina Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Mumtahina Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Mumtahina Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Mumtahina Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Mumtahina Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Mumtahina Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Mumtahina Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Mumtahina Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Mumtahina Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Mumtahina Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Mumtahina Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Mumtahina Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Mumtahina Al Hosary
Al Hosary
Surah Mumtahina Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Mumtahina Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, August 15, 2024

Please remember us in your sincere prayers