Surah Al Imran aya 62 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Imran aya 62 in arabic text(The Family of Imraan).
  
   

﴿إِنَّ هَٰذَا لَهُوَ الْقَصَصُ الْحَقُّ ۚ وَمَا مِنْ إِلَٰهٍ إِلَّا اللَّهُ ۚ وَإِنَّ اللَّهَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الْحَكِيمُ
[ آل عمران: 62]

Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.

Surah Al Imran in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, this is the true narration. And there is no deity except Allah. And indeed, Allah is the Exalted in Might, the Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika haya ndiyo maelezo ya kweli. Na hakuna mungu ila Mwenyezi Mungu tu, na hakika Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye nguvu na Mwenye hikima.


Hiyo ndiyo kweli isiyo na shaka yoyote. Kwani hapanapo mungu ila Mwenyezi Mungu aliye umba kila kitu, na Yeye ni pekee katika utukufu wa Ufalme wake na hikima katika uumbaji wake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 62 from Al Imran


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na wakielekea amani nawe pia elekea, na mtegemee Mwenyezi Mungu. Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia
  2. Na tungelitaka tungeli mtukuza kwa hizo Ishara, lakini yeye aliushikilia ulimwengu na akafuata pumbao lake.
  3. Zinakaribia mbingu kupasuka juu huko, na Malaika wakimtakasa Mola wao Mlezi na kumhimidi, na wakiwaombea
  4. Na watakuwa nao wanawake wenye macho ya staha mazuri.
  5. Masihi mwana wa Maryam si chochote ila ni Mtume. Wamekwisha pita Mitume kabla yake. Na
  6. Na ziko kwake funguo za ghaibu; hakuna azijuaye ila Yeye tu. Na Yeye anajua kilioko
  7. Ati yeye tu ndiye aliye teremshiwa mawaidha peke yake katika sisi? Lakini hao wana shaka
  8. Hakika Sisi tumekuletea wahyi wewe kama tulivyo wapelekea wahyi Nuhu na Manabii walio kuwa baada
  9. Na wachache katika wa mwisho.
  10. Watakapo tupwa humo watausikia mngurumo wake na huku inafoka.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Surah Al Imran Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Imran Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Imran Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Imran Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Imran Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Imran Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Imran Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Imran Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Imran Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Imran Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Imran Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Imran Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Imran Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Imran Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Imran Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, August 6, 2025

Please remember us in your sincere prayers