Surah Anfal aya 21 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَا تَكُونُوا كَالَّذِينَ قَالُوا سَمِعْنَا وَهُمْ لَا يَسْمَعُونَ﴾
[ الأنفال: 21]
Wala msiwe kama wale wanao sema: Tumesikia, na kumbe hawasikii.
Surah Al-Anfal in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And do not be like those who say, "We have heard," while they do not hear.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wala msiwe kama wale wanao sema: Tumesikia, na kumbe hawasikii.
Wala msiwe kama wanaafiki wanao sema: Tumeisikia Haki na tumefahamu. Lakini hawaifuati wala hawaiamini. Basi wamekuwa kama wasio sikia.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na lau kuwa miti yote iliyomo duniani ikawa ni kalamu, na bahari (ikawa wino), na
- Hata tukiwa mifupa iliyo bunguliwa?
- Na katika watu, na wanyama, na mifugo, pia rangi zao zinakhitalifiana. Kwa hakika wanao mcha
- Hapo ndipo Waumini walipo jaribiwa, na wakatikiswa mtikiso mkali.
- Na ataingia Motoni.
- Na wakazikataa kwa dhulma na kujivuna, na hali ya kuwa nafsi zao zina yakini nazo.
- Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
- Wala msiliane mali zenu kwa baat'ili na kuzipeleka kwa mahakimu ili mpate kula sehemu ya
- Basi wakapanga mipango yao, na Sisi tukapanga mipango yetu, na wao hawatambui.
- Akasema: Hakika wewe hutaweza kuvumilia kuwa pamoja nami.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



