Surah Al Imran aya 63 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَإِن تَوَلَّوْا فَإِنَّ اللَّهَ عَلِيمٌ بِالْمُفْسِدِينَ﴾
[ آل عمران: 63]
Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.
Surah Al Imran in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But if they turn away, then indeed - Allah is Knowing of the corrupters.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.
Wakiikataa Haki baada ya kwisha wadhihirikia, na wasiache upotovu wao, basi hao ndio waharibifu. Na Mwenyezi Mungu anawajua.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Basi wakamjia upesi upesi.
- Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye
- Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
- Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
- Harun, ndugu yangu.
- Lau kuwa tumeiteremsha hii Qur'ani juu ya mlima, basi bila ya shaka ungeli uona ukinyenyekea,
- Itakapo pasuka mbingu ikawa nyekundu kama mafuta.
- Na wanapo iona biashara au pumbao wanayakimbilia hayo na wakakuacha umesimama. Sema: Yaliyoko kwa Mwenyezi
- Na tulipo chukua ahadi yenu, na tukaunyanyua mlima juu yenu (tukakwambieni): Shikeni kwa nguvu haya
- Na mkifa au mkiuliwa ni kwa Mwenyezi Mungu ndio mtakusanywa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Imran with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Imran mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Imran Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers