Surah Hajj aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hajj aya 66 in arabic text(The Pilgrimage).
  
   

﴿وَهُوَ الَّذِي أَحْيَاكُمْ ثُمَّ يُمِيتُكُمْ ثُمَّ يُحْيِيكُمْ ۗ إِنَّ الْإِنسَانَ لَكَفُورٌ
[ الحج: 66]

Na Yeye ndiye aliye kuhuisheni kisha akakufisheni, na kisha atakufufueni. Hakika mwanaadamu hana fadhila.

Surah Al-Hajj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And He is the one who gave you life; then He causes you to die and then will [again] give you life. Indeed, mankind is ungrateful.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Yeye ndiye aliye kuhuisheni kisha akakufisheni, na kisha atakufufueni. Hakika mwanaadamu hana fadhila.


Na Yeye ndiye aliye kupeni uhai. Kisha anakufisheni unapo malizika muda wenu. Kisha tena atakufufueni Siku ya Kiyama kwa ajili ya hisabu na malipo. Hakika mwanaadamu baada ya neema zote hizi na ushahidi wote huu ni mwingi wa kumkataa Mwenyezi Mungu na kuzikataa neema zake alizo mpa.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 66 from Hajj


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika Mola wako Mlezi ndiye atakaye fafanua baina yao Siku ya Kiyama katika waliyo kuwa
  2. Bila ya shaka wanao fungamana nawe, kwa hakika wanafungamana na Mwenyezi Mungu. Mkono wa Mwenyezi
  3. Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila
  4. Wakasema: Ewe Musa! Je, utatupa wewe, au tutakuwa sisi tutao tupa?
  5. Na mwenye kumuuwa Muumini kwa kukusudia, basi malipo yake ni Jahannamu humo atadumu, na Mwenyezi
  6. Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinacho tajwa.
  7. Na tukawafanya miongoni mwao waongozi wanao ongoa watu kwa amri yetu, walipo subiri na wakawa
  8. Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
  9. Hakika walio amini na wakatenda mema, hao ndio bora wa viumbe.
  10. Wala hatakuamrisheni kuwafanya Malaika na Manabii kuwa ni miungu. Je, atakuamrisheni ukafiri baada ya kuwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Surah Hajj Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hajj Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hajj Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hajj Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hajj Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hajj Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hajj Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Hajj Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hajj Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hajj Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hajj Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hajj Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hajj Al Hosary
Al Hosary
Surah Hajj Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hajj Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Friday, August 22, 2025

Please remember us in your sincere prayers