Surah Hijr aya 62 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ إِنَّكُمْ قَوْمٌ مُّنكَرُونَ﴾
[ الحجر: 62]
Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Indeed, you are people unknown."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alisema (Luuti): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
Luuti aliwaambia: Watu nyinyi sikujueni, na nafsi yangu inatishika nanyi. Naogopa msituletee balaa.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala hamtaweza kufanya uadilifu baina ya wake, hata mkikakamia. Kwa hivyo msimili moja kwa moja
- Limetukuka jina la Mola wako Mlezi Mwenye utukufu na ukarimu.
- Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa, na siku ya
- IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza.
- Na shari ya hasidi anapo husudu.
- Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?
- Wala msiseme uwongo, kwa kuropokwa na ndimi zenu: Hichi halali, na hichi haramu - mkimzulia
- Na siku watakapo letwa walio kufuru kwenye Moto wataambiwa: Nyinyi mlitwaa vitu vyenu vizuri katika
- Mitume wao wakasema: Ati pana shaka na Mwenyezi Mungu, Muumba mbingu na ardhi? Yeye anakuiteni
- Tukayaziba masikio yao kuwalaza humo pangoni kwa muda wa miaka kadhaa wa kadhaa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers