Surah Hijr aya 62 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قَالَ إِنَّكُمْ قَوْمٌ مُّنكَرُونَ﴾
[ الحجر: 62]
Alisema (Luut'i): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
He said, "Indeed, you are people unknown."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Alisema (Luuti): Hakika nyinyi ni watu msio juulikana.
Luuti aliwaambia: Watu nyinyi sikujueni, na nafsi yangu inatishika nanyi. Naogopa msituletee balaa.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na Firauni aliwapoteza watu wake wala hakuwaongoa.
- La! Karibu watakuja jua.
- Watadumu humo milele. Hawampati mlinzi wala wa kuwanusuru.
- Je! Mlidhani ya kwamba tulikuumbeni bure na ya kwamba nyinyi kwetu hamtarudishwa?
- Na tulipo chukua agano lenu kuwa hamtamwaga damu zenu, wala hamtatoana majumbani mwenu; nanyi mkakubali
- Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!
- Na walipo juta na wakaona ya kwamba wamekwisha potea, walisema: Ikiwa Mola wetu Mlezi hakuturehemu
- Hakika siku ya Uamuzi ni wakati ulio wekwa kwa wao wote.
- Kwa siku ya kupambanua!
- Sema: Ni nani aliye harimisha pambo la Mwenyezi Mungu alilo watolea waja wake, na vilivyo
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



