Surah Qasas aya 66 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَعَمِيَتْ عَلَيْهِمُ الْأَنبَاءُ يَوْمَئِذٍ فَهُمْ لَا يَتَسَاءَلُونَ﴾
[ القصص: 66]
Basi zitawapotea khabari siku hiyo, nao hawataulizana.
Surah Al-Qasas in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But the information will be unapparent to them that Day, so they will not [be able to] ask one another.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi zitawapotea khabari siku hiyo, nao hawataulizana.
Khabari hizo zikawapita hawazitambui kama kwamba ni vipofu. Ikawa hapana amuulizae mwenziwe, kwani wote walikuwa sawa sawa wameshindwa kujibu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na akakurithisheni ardhi zao na nyumba zao na mali zao, na ardhi msiyo pata kuikanyaga.
- Hao ndio ambao imehakikikishwa hukumu juu yao kama mataifa yaliyo kwisha pita kabla yao miongoni
- Na ni tangazo kutokana na Mwenyezi Mungu na Mtume wake kwa wote siku ya Hija
- Basi yule bwana alipoona kanzu yake imechanwa kwa nyuma, alisema: Hakika haya ni katika vitimbi
- Basi mtegemee Mweneyezi Mungu; hakika wewe uko juu ya Haki iliyo wazi.
- Kabla yenu zimepita nyendo nyingi; basi tembeeni katika ulimwengu muangalie vipi ulikuwa mwisho wa wanao
- Ule Moto ukiwaona tangu mahali mbali wao watasikia hasira yake na mngurumo wake.
- Hakika katika hayo ipo Ishara, lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
- Ama mwenye kutoa na akamchamngu,
- Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Qasas with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Qasas mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Qasas Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers