Surah Zukhruf aya 30 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَلَمَّا جَاءَهُمُ الْحَقُّ قَالُوا هَٰذَا سِحْرٌ وَإِنَّا بِهِ كَافِرُونَ﴾
[ الزخرف: 30]
Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.
Surah Az-Zukhruf in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But when the truth came to them, they said, "This is magic, and indeed we are, concerning it, disbelievers."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ilipo wafikia Haki wakasema: Huu ni uchawi, na sisi hakika tunaukataa.
Na ilipo teremka Qurani kuwaongoza kwenye Tawhid wakaongeza juu ya ushirikina wao kuita Qurani : -uchawi- na -kiini macho-, kwa kejeli. Na wakashikilia ukafiri wao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wale wanao subiri na wakamtegemea Mola wao Mlezi.
- Na watasema: Tunaiamini! Lakini wataipata wapi kutoka huko mahala mbali?
- Na walio kufuru, basi kwao ni maangamizo, na atavipoteza vitendo vyao.
- Maadui hawatakudhuruni ila ni maudhi tu. Na wakipigana nanyi watakupeni mgongo, na tena hawatanusuriwa.
- Hakika Mwenyezi Mungu atawaingiza walio amini na wakatenda mema katika Bustani zipitazo mito kati yake.
- Wadumu humo. Na ni mzigo muovu kwao kuubeba Siku ya Kiyama!
- Je! Hawakusafiri katika ardhi wakaona vipi ulikuwa mwisho wa walio kuwa kabla yao? Na hao
- Msikimbie! Na rejeeni kwenye zile zile starehe zenu, na maskani zenu, mpate kusailiwa!
- Tena humo hatakufa wala hawi hai.
- Basi inakuwaje unapo wasibu msiba kwa sababu ya yale iliyo tanguliza mikono yao? Hapo tena
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Zukhruf with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Zukhruf mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Zukhruf Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers