Surah Anfal aya 67 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Anfal aya 67 in arabic text(The Spoils of War).
  
   

﴿مَا كَانَ لِنَبِيٍّ أَن يَكُونَ لَهُ أَسْرَىٰ حَتَّىٰ يُثْخِنَ فِي الْأَرْضِ ۚ تُرِيدُونَ عَرَضَ الدُّنْيَا وَاللَّهُ يُرِيدُ الْآخِرَةَ ۗ وَاللَّهُ عَزِيزٌ حَكِيمٌ
[ الأنفال: 67]

Haimfalii Nabii yeyote kuwa na mateka mpaka awe ameshinda baraabara katika nchi. Mnataka vitu vya dunia, na Mwenyezi Mungu anataka Akhera. Na Mwenyezi Mungu ni Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye hikima.

Surah Al-Anfal in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


It is not for a prophet to have captives [of war] until he inflicts a massacre [upon Allah 's enemies] in the land. Some Muslims desire the commodities of this world, but Allah desires [for you] the Hereafter. And Allah is Exalted in Might and Wise.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Haimfalii Nabii yeyote kuwa na mateka mpaka awe ameshinda baraabara katika nchi. Mnataka vitu vya dunia, na Mwenyezi Mungu anataka Akhera. Na Mwenyezi Mungu ni Mtukufu Mwenye nguvu Mwenye hikima.


Haimfalii Nabii yeyote kukamata mateka, au kuchukua fidia, au kutoa bure msamaha, mpaka ashinde, na maadui waone wameshindwa, na wawe wamepata pigo kubwa hata kuwa hawawezi tena kupigana katika nchi. Lakini, nyinyi jamaa wa Kiislamu, mmefanya haraka katika Vita vya Badri kukamata mateka kabla hamjatamakani mkawa imara katika nchi. Mnatafuta manufaa ya dunia, na Mwenyezi Mungu anataka Akhera, kwa kutukuzwa Neno la Haki, na lisikushughulisheni la dunia. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu, Mwenye kushinda. Hukupangieni mambo yenu kwa mujibu wa faida yenu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 67 from Anfal


Ayats from Quran in Swahili


    Quran Surah in Swahili :

    Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
    Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
    Al-Hijr Al-Kahf Maryam
    Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
    As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
    Al-Fath Al-Hujurat Qaf
    An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
    Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
    Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

    Download Surah Anfal with the voice of the most famous Quran reciters :

    Surah Anfal mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Anfal Complete with high quality
    Surah Anfal Ahmed El Agamy
    Ahmed Al Ajmy
    Surah Anfal Bandar Balila
    Bandar Balila
    Surah Anfal Khalid Al Jalil
    Khalid Al Jalil
    Surah Anfal Saad Al Ghamdi
    Saad Al Ghamdi
    Surah Anfal Saud Al Shuraim
    Saud Al Shuraim
    Surah Anfal Abdul Basit Abdul Samad
    Abdul Basit
    Surah Anfal Ammar Al-Mulla
    Ammar Al-Mulla
    Surah Anfal Abdullah Basfar
    Abdullah Basfar
    Surah Anfal Abdullah Awwad Al Juhani
    Abdullah Al Juhani
    Surah Anfal Fares Abbad
    Fares Abbad
    Surah Anfal Maher Al Muaiqly
    Maher Al Muaiqly
    Surah Anfal Muhammad Siddiq Al Minshawi
    Al Minshawi
    Surah Anfal Al Hosary
    Al Hosary
    Surah Anfal Al-afasi
    Mishari Al-afasi
    Surah Anfal Yasser Al Dosari
    Yasser Al Dosari


    Tuesday, June 24, 2025

    Please remember us in your sincere prayers