Surah Al Isra aya 68 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Al Isra aya 68 in arabic text(The Night Journey).
  
   

﴿أَفَأَمِنتُمْ أَن يَخْسِفَ بِكُمْ جَانِبَ الْبَرِّ أَوْ يُرْسِلَ عَلَيْكُمْ حَاصِبًا ثُمَّ لَا تَجِدُوا لَكُمْ وَكِيلًا﴾
[ الإسراء: 68]

Je! Mmeaminisha ya kuwa hatakudidimizeni upande wowote katika nchi kavu, au kwamba hatakuleteeni tufani la kokoto? Kisha msipate wa kumtegemea.

Surah Al-Isra in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Then do you feel secure that [instead] He will not cause a part of the land to swallow you or send against you a storm of stones? Then you would not find for yourselves an advocate.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Mmeaminisha ya kuwa hatakudidimizeni upande wowote katika nchi kavu, au kwamba hatakuleteeni tufani la kokoto? Kisha msipate wa kumtegemea.


Na hapo tukisha kuvueni mkafika nchi kavu, kwani ndio mmeaminisha kuwa basi haikupateni adhabu ya Mwenyezi Mungu? Hasha! Akitaka anaweza akaipindua ardhi ikakuteketezeni chini yake. Na akitaka atakupelekeeni upepo mkali ukutupieni kokoto na mawe, na wala msipate wa kukulindeni na yanayo kupateni.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 68 from Al Isra


Ayats from Quran in Swahili

  1. Hakika amefanikiwa aliye itakasa,
  2. Wakasema: Malipo yake ni yule ambaye ataonekana nalo yeye huyo ndiye malipo yake. Hivi ndivyo
  3. Na anaye kufuru, isikuhuzunishe kufuru yake. Kwetu ndio marudio yao, na hapo tutawaambia waliyo yatenda.
  4. Je, nimtafute hakimu ghairi ya Mwenyezi Mungu, naye ndiye aliye kuteremshieni Kitabu kilicho elezwa waziwazi?
  5. Na kwa yakini tumekwisha ziangamiza kaumu za kabla yenu walipo dhulumu, na waliwajia Mitume wao
  6. Umeona kama yeye yuko juu ya uwongofu?
  7. Basi wakiamini kama mnavyo amini nyinyi, itakuwa kweli wameongoka. Na wakikengeuka basi wao wamo katika
  8. (Tukamwambia:) Tengeneza nguo za chuma pana, na kadiria sawa katika kuunganisha. Na tendeni mema. Hakika
  9. Enyi watu! Muabuduni Mola wenu Mlezi aliye kuumbeni nyinyi na wale wa kabla yenu, ili
  10. Na kwa yakini tumeisarifu kati yao wapate kukumbuka. Lakini watu wengi wanakataa ila kukufuru.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Al Isra with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Al Isra mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Isra Complete with high quality
Surah Al Isra Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Al Isra Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Al Isra Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Al Isra Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Al Isra Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Al Isra Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Al Isra Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Al Isra Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Al Isra Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Al Isra Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Al Isra Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Al Isra Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Al Isra Al Hosary
Al Hosary
Surah Al Isra Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Al Isra Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, September 10, 2025

Please remember us in your sincere prayers