Surah Al Ala aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى﴾
[ الأعلى: 1]
Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Exalt the name of your Lord, the Most High,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa!
Litakase jina la Mola wako Mlezi lilio tukufu na kila kitu kisicho kuwa kinaelekeana nalo.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na kwa usiku unapo lifunika!
- Macho yao yatainama, fedheha itawafunika. Hiyo ndiyo Siku waliyo kuwa wakiahidiwa.
- Kama kwamba ni ngamia wa rangi ya manjano!
- Sema: Ni vya nani viliomo katika mbingu na katika ardhi? Sema: Ni vya Mwenyezi Mungu.
- Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.
- Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
- Na ambao watu watakapo kusanywa watakuwa maadui zao, na wataikataa ibada yao.
- Yeye anajua yaliyo mbele yao, na yaliyo nyuma yao. Wala wao hawawezi kumjua Yeye vilivyo.
- Na wengi katika wao hawamuamini Mwenyezi Mungu pasina kuwa ni washirikina.
- Ili mumuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake, na mumsaidie, na mumhishimu, na mumtakase asubuhi na
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



