Surah Al Ala aya 1 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿سَبِّحِ اسْمَ رَبِّكَ الْأَعْلَى﴾
[ الأعلى: 1]
Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
Surah Al-Ala in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Exalt the name of your Lord, the Most High,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa!
Litakase jina la Mola wako Mlezi lilio tukufu na kila kitu kisicho kuwa kinaelekeana nalo.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku ambayo hautawafaa madhaalimu udhuru wao, nao watapata laana, na watapata makaazi mabaya kabisa.
- Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi Aya zetu!
- Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye khasara!
- Wakaja na kanzu yake ina damu ya uwongo. Akasema: Bali nafsi zenu zimekushawishini kutenda kitendo.
- Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
- Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba
- Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
- Na kama wakigeuka basi Mwenyezi Mungu anawajua waharibifu.
- Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
- Na mkikadhibisha, basi kaumu kadhaa wa kadhaa za kabla yenu zilikwisha kadhibisha. Na si juu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Al Ala with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Al Ala mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Al Ala Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers