Surah Ibrahim aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَتَرَى الْمُجْرِمِينَ يَوْمَئِذٍ مُّقَرَّنِينَ فِي الْأَصْفَادِ﴾
[ إبراهيم: 49]
Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
Surah Ibrahim in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you will see the criminals that Day bound together in shackles,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
Utawaona makafiri Siku ya Kiyama wamefungwa pingu pamoja na mashetani wao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Akasema: Mola wangu Mlezi! Niwekee alama. Akasema: Alama yako ni kuwa hutasema na watu kwa
- Watayapata humo wayatakayo daima dawamu. Hii ni ahadi juu ya Mola wako Mlezi, inayo ombwa.
- Na ya kwamba mniabudu Mimi? Hii ndiyo Njia Iliyo Nyooka.
- Sema: Kila mmoja anangoja. Basi ngojeni! Hivi karibuni mtajua nani mwenye njia sawa na nani
- Je! Hawamtazami ngamia jinsi alivyo umbwa?
- Na asiyeweza kati yenu kupata mali ya kuolea wanawake wa kiungwana Waumini, na aoe katika
- Kwani hatukukuumbeni kwa maji ya kudharauliwa?
- Nakufikishieni ujumbe wa Mola wangu Mlezi. Na mimi kwenu ni mwenye kukunasihini, muaminifu.
- Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
- Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



