Surah Ibrahim aya 49 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَتَرَى الْمُجْرِمِينَ يَوْمَئِذٍ مُّقَرَّنِينَ فِي الْأَصْفَادِ﴾
[ إبراهيم: 49]
Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
Surah Ibrahim in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And you will see the criminals that Day bound together in shackles,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na utaona wakhalifu siku hiyo wamefungwa katika minyororo;
Utawaona makafiri Siku ya Kiyama wamefungwa pingu pamoja na mashetani wao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na subiri, kwani Mwenyezi Mungu hapotezi ujira wa wanao fanya wema.
- Hawataiamini mpaka waione adhabu chungu.
- Wakasema: Tuna kisirani nawe na wale walio pamoja nawe. Yeye akasema: Uaguzi wa ukorofi wenu
- Akapambazukiwa mjini asubuhi naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Mara yule yule aliye mtaka
- AMETUKUKA ambaye mkononi mwake umo Ufalme wote; na Yeye ni Mwenye uweza juu ya kila
- Mwenyezi Mungu ndiye Muumba wa kila kitu, na Yeye ndiye Mlinzi juu ya kila kitu.
- Katika Bustani zenye neema.
- Na wao hawakutumwa wawe walinzi juu yao.
- Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko
- Atakusameheni dhambi zenu, na atakutieni katika Mabustani yapitiwayo na mito kati yake, na maskani nzuri
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Ibrahim with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Ibrahim mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ibrahim Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers