Surah Jathiyah aya 4 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَفِي خَلْقِكُمْ وَمَا يَبُثُّ مِن دَابَّةٍ آيَاتٌ لِّقَوْمٍ يُوقِنُونَ﴾
[ الجاثية: 4]
Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.
Surah Al-Jaathiyah in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And in the creation of yourselves and what He disperses of moving creatures are signs for people who are certain [in faith].
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na katika umbo lenu na katika wanyama alio watawanya zimo Ishara kwa watu wenye yakini.
Na vile Mwenyezi Mungu kukuumbeni nyinyi, enyi watu, kama mlivyo, mna sura nzuri, na umbo la peke yenu, na mnavyo khitalifiana baina ya wanaadamu na wanyama na mkaenezwa ulimwenguni, na manufaa mbali mbali, bila ya shaka ni Ishara zenye nguvu na ziwazi kwa watu wanao tafuta yakini ya mambo yao kwa kuzingatia na kufikiri.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Siku itapo wafunika adhabu hiyo kutoka juu yao na chini ya miguu yao, na atasema:
- Kisha akapiga jicho kutazama nyota.
- Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
- Kwa hakika wewe utakufa, na wao watakufa.
- Nao huku wanazuia msaada.
- Na alipo pigiwa mfano Mwana wa Mariamu, watu wako waliupiga ukelele.
- Nasi tulidhani kuwa watu na majini hawamzulii uwongo Mwenyezi Mungu.
- Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.
- Na walio kufuru vitendo vyao ni kama sarabi (mazigazi) uwandani. Mwenye kiu huyadhania ni maji.
- Basi walipo liona, wakasema: Hakika tumepotea!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Jathiyah with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Jathiyah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Jathiyah Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers