Surah Lail aya 7 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْيُسْرَىٰ﴾
[ الليل: 7]
Tutamsahilishia yawe mepesi.
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
We will ease him toward ease.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Tutamsahilishia yawe mepesi.
Basi Sisi tutamtengenezea awe katika khulka ya wepesi na raha kwa kumwongoza kwenye njia ya kheri.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Wala usitembee katika ardhi kwa maringo. Hakika wewe huwezi kuipasua ardhi wala kufikia urefu wa
- Na hao ambao hata hawawajui wanawawekea sehemu ya tunavyo waruzuku. Wallahi! Bila ya shaka mtasailiwa
- Na watasema: Lau kuwa tungeli sikia, au tungeli kuwa na akili, tusingeli kuwa katika watu
- Akasema: Inshaallah, Mwenyezi Mungu akipenda, utaniona mvumilivu, wala sitoasi amri yako.
- Kisha Siku ya Kiyama atawahizi na atasema: Wako wapi hao washirika wangu ambao kwao mkiwakutisha
- Mwenyezi Mungu ni Mlinzi wa walio amini. Huwatoa gizani na kuwaingiza mwangazani. Lakini walio kufuru,
- Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu kwenu.
- Wakasema: Wallahi! Hakika bado ungali katika upotovu wako wa zamani.
- HUENDA ikawa walio kufuru wakatamani wange kuwa Waislamu.
- Na watakapo tupwa humo mahali dhiki, hali wamefungwa, wataomba wafe.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



