Surah Lail aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَأَمَّا مَن بَخِلَ وَاسْتَغْنَىٰ﴾
[ الليل: 8]
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake,
Surah Al-Layl in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
But as for he who withholds and considers himself free of need
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake!
Ama mwenye kufanya ubakhili kwa mali yake asitoe haki ya Mwenyezi Mungu iliomo humo, na akawa hana haja na yatokayo kwa Mwenyezi Mungu,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na mkilipiza basi lipizeni sawa na vile mlivyo adhibiwa. Na ikiwa mtasubiri, basi hakika hivyo
- Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote.
- Nenda, wewe na ndugu yako, pamoja na ishara zangu, wala msichoke kunikumbuka.
- Hakika Sisi tumekuteremshia Kitabu kwa ajili ya watu wote kwa Haki. Basi mwenye kuongoka ni
- Umemwona yule anaye mkataza
- Na lau ungeli ona watavyo simamishwa mbele ya Mola wao Mlezi, akawaambia: Je, si kweli
- Mwenyezi Mungu tu ndiye Mwenye dunia na Akhera.
- Na ni vyake Yeye viliomo katika mbingu na ardhi. Na Dini ni yake Yeye daima.
- Na waozeni wajane miongoni mwenu na wema katika watumwa wenu na wajakazi wenu. Wakiwa mafakiri
- Akasema: Mimi ni bora kuliko yeye. Umeniumba kwa moto, na yeye umemuumba kwa udongo.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Lail with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Lail mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Lail Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers