Surah Bayyinah aya 6 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Bayyinah aya 6 in arabic text(The Clear Evidence).
  
   

﴿إِنَّ الَّذِينَ كَفَرُوا مِنْ أَهْلِ الْكِتَابِ وَالْمُشْرِكِينَ فِي نَارِ جَهَنَّمَ خَالِدِينَ فِيهَا ۚ أُولَٰئِكَ هُمْ شَرُّ الْبَرِيَّةِ
[ البينة: 6]

Hakika walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina wataingia katika Moto wa Jahannamu wadumu milele humo. Hao ndio viumbe waovu kabisa.

Surah Al-Bayyinah in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Indeed, they who disbelieved among the People of the Scripture and the polytheists will be in the fire of Hell, abiding eternally therein. Those are the worst of creatures.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Hakika walio kufuru miongoni mwa Watu wa Kitabu na washirikina wataingia katika Moto wa Jahannamu wadumu milele humo. Hao ndio viumbe waovu kabisa.


Hakika wale walio kufuru katika Watu wa Kitabu na washirikina wataingia katika Moto wa Jahannamu, wala hawatatoka humo. Hao ndio waovu wa viumbe kwa itikadi na vitendo.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 6 from Bayyinah


Ayats from Quran in Swahili

  1. Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu kama ipasavyo kumcha; wala msife ila nanyi ni Waislamu.
  2. Na pale alipo tangaza Mola wako Mlezi kwamba hapana shaka atawaletea watu ambao watawaadhibu kwa
  3. Na wajumbe wetu walipo mfikia Lut'i, alihuzunika kwa ajili yao, na moyo uliona dhiki kwa
  4. Sema: Lau kuwa wangeli kuwa pamoja naye miungu mingine kama wasemavyo, basi wangeli tafuta njia
  5. Na hakika kabla ya hawa tuliwafanyia mtihani watu wa Firauni, na aliwafikia Mtume Mtukufu.
  6. Lakini Firauni alimuasi huyo Mtume, basi tukamshika mshiko wa mateso.
  7. Na amefanya vikutumikieni vilivyomo mbinguni na vilivyomo katika ardhi, vyote vimetoka kwake. Hakika katika hayo
  8. Na nini kitakacho kujuulisha ni nini hicho Kinacho kuja usiku?
  9. Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,
  10. Wala msiwape wasio na akili mali yenu ambayo Mwenyezi Mungu ameyajaalia yawe ni kiamu yenu.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Bayyinah with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Bayyinah mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Bayyinah Complete with high quality
Surah Bayyinah Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Bayyinah Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Bayyinah Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Bayyinah Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Bayyinah Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Bayyinah Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Bayyinah Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Bayyinah Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Bayyinah Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Bayyinah Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Bayyinah Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Bayyinah Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Bayyinah Al Hosary
Al Hosary
Surah Bayyinah Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Bayyinah Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Wednesday, October 1, 2025

Please remember us in your sincere prayers