Surah Hajj aya 70 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Hajj aya 70 in arabic text(The Pilgrimage).
  
   

﴿أَلَمْ تَعْلَمْ أَنَّ اللَّهَ يَعْلَمُ مَا فِي السَّمَاءِ وَالْأَرْضِ ۗ إِنَّ ذَٰلِكَ فِي كِتَابٍ ۚ إِنَّ ذَٰلِكَ عَلَى اللَّهِ يَسِيرٌ
[ الحج: 70]

Je! Hujui kwamba Mwenyezi Mungu anayajua yaliomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi.

Surah Al-Hajj in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Do you not know that Allah knows what is in the heaven and earth? Indeed, that is in a Record. Indeed that, for Allah, is easy.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Je! Hujui kwamba Mwenyezi Mungu anayajua yaliomo mbinguni na katika ardhi? Hakika hayo yamo Kitabuni. Hakika hayo kwa Mwenyezi Mungu ni mepesi.


Ewe mwenye akili! Jua kuwa ujuzi wa Mwenyezi Mungu umekusanya kila kiliomo mbinguni na duniani. Hapana kitendo cha hawa washindani kinacho fichika kwake. Vyote hivyo vimekwisha andikwa katika Ubao ulio hifadhiwa (Lauhun Mahfuudh). Kwani kujua kwake Mwenyezi Mungu na kuvithibiti kwake ni kazi nyepesi kabisa kwake.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 70 from Hajj


Ayats from Quran in Swahili

  1. Kwa hakika hao ambao kwa kumwogopa Mola wao Mlezi wananyenyekea,
  2. Basi itakuwaje tutakapo wakusanya Siku ambayo haina shaka kuja kwake? Na kila nafsi italipwa kama
  3. Enyi mlio amini! Msiwafanye wasiri wenu watu wasio kuwa katika nyinyi. Hawataacha kukufanyieni ubaya. Wanayapenda
  4. Na kwa viwili viwili na kimoja kimoja,
  5. Wale ambao huwafanya makafiri kuwa ndio marafiki badala ya Waumini. Je! Wanataka wapate kwao utukufu?
  6. Na tutaondoa chuki vifuani mwao, na mbele yao iwe inapita mito. Na watasema: Alhamdulillah! Kuhimidiwa
  7. Sivyo hivyo, bali anaye timiza ahadi yake na akamchamngu basi Mwenyezi Mungu huwapenda wachamngu.
  8. Na hakika Mola wako Mlezi atawatimilizia malipo ya vitendo vyao. Hakika Yeye anayo khabari ya
  9. Na Yeye ndiye anaye huisha na kufisha, na yake Yeye mabadiliko ya usiku na mchana.
  10. Basi nawalete masimulizi kama haya ikiwa wao wanasema kweli.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Hajj with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Hajj mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hajj Complete with high quality
Surah Hajj Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Hajj Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Hajj Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Hajj Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Hajj Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Hajj Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Hajj Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Hajj Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Hajj Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Hajj Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Hajj Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Hajj Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Hajj Al Hosary
Al Hosary
Surah Hajj Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Hajj Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, May 12, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب