Surah Raad aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿اللَّهُ يَعْلَمُ مَا تَحْمِلُ كُلُّ أُنثَىٰ وَمَا تَغِيضُ الْأَرْحَامُ وَمَا تَزْدَادُ ۖ وَكُلُّ شَيْءٍ عِندَهُ بِمِقْدَارٍ﴾
[ الرعد: 8]
Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke, na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila kitu kwake ni kwa kipimo.
Surah Ar-Rad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Allah knows what every female carries and what the wombs lose [prematurely] or exceed. And everything with Him is by due measure.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Mwenyezi Mungu anajua mimba abebayo kila mwanamke, na kinacho punguka na kuzidi matumboni. Na kila kitu kwake ni kwa kipimo.
Aliye mpa Mtume huo muujiza mkubwa kabisa ni Yeye anaye jua kila kitu, na anazijua nafsi za binaadamu tangu kuumbwa kwao kutokana na mbegu za uzazi katika tumbo la mama mpaka wakati wa kufa kwao. Basi Yeye anaijua mimba anayo ichukua kila mwanamke kama ni mume au mke, kinacho punguka tumboni na kilicho zidi wakati, mpaka utimie muda wa mimba, na mtoto akamilike kukua, azaliwe. Kila kitu kwake Yeye Subhanahu kina kipimo maalumu, na muda maalumu.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Kisha tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti.
- Na wajumbe wetu walimjia Ibrahim kwa bishara njema, wakasema: Salama! Naye akasema: Salama! Hakukaa ila
- Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
- Basi Subhanallah! Mtakaseni Mwenyezi Mungu jioni na asubuhi,
- Na tukawawekea marafiki, na wakawapambia yaliyo mbele yao na nyuma yao. Basi ikawathibitikia kauli wawe
- Na mtachukuaje na ilhali mmekwisha ingiliana nyinyi kwa nyinyi, na wao wanawake wamechukua kwenu ahadi
- Na akasema mtu mmoja Muumini, aliye kuwa mmoja katika watu wa Firauni aliye ficha Imani
- Wanakuuliza wamehalalishiwa nini? Sema: Mmehalalishiwa kila vilivyo vizuri na mlicho wafundisha wanyama kukiwinda. Mnawafundisha alivyo
- Na hayakuwa haya, ila ni ukumbusho kwa walimwengu wote.
- Basi tetemeko la ardhi likawanyakua, na wakaamkia majumbani mwao wamejifudikiza, wamekwisha kufa.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Raad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Raad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Raad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers