Surah Hijr aya 94 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَاصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ الْمُشْرِكِينَ﴾
[ الحجر: 94]
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then declare what you are commanded and turn away from the polytheists.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
Basi wewe tangaza wito wa Haki, wala usishughulike na wayatendao washirikina na maneno yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Yakiwapata watu madhara humwomba Mola wao Mlezi nao wametubu kwake. Kisha akiwaonjesha rehema itokayo kwake,
- Watadumu humo milele. Hakika kwa Mwenyezi Mungu yapo malipo makubwa.
- Humuadhibu amtakaye, na humrehemu amtakaye. Na kwake Yeye mtapelekwa.
- Na tulio wapa Kitabu wanafurahia uliyo teremshiwa. Na katika makundi mengine wapo wanao yakataa baadhi
- Na amka usiku kwa ibada; ni ziada ya sunna khasa kwako wewe. Huenda Mola wako
- Subhana, Ametakasika, aliye umba dume na jike vyote katika vinavyo mea katika ardhi na katika
- Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
- Ya Firauni. Hakika yeye alikuwa jeuri katika wenye kupindukia mipaka.
- Hawangojei ila ukelele mmoja tu utakao wachukua nao wamo kuzozana.
- Na tulimtuma Lut', alipo waambia watu wake: Je, mnafanya uchafu ambao hajakutangulieni yeyote kwa uchafu
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



