Surah Hijr aya 94 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَاصْدَعْ بِمَا تُؤْمَرُ وَأَعْرِضْ عَنِ الْمُشْرِكِينَ﴾
[ الحجر: 94]
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
Surah Al-Hijr in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Then declare what you are commanded and turn away from the polytheists.
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Basi wewe yatangaze uliyo amrishwa, na jitenge na washirikina.
Basi wewe tangaza wito wa Haki, wala usishughulike na wayatendao washirikina na maneno yao.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Litakase jina la Mola wako Mlezi aliye juu kabisa,
- Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
- Na toeni katika tulicho kupeni kabla hayajamfikia mmoja wenu mauti, tena hapo akasema: Mola wangu
- Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,
- Mpeleke kesho pamoja nasi, ale kwa furaha na acheze; na bila ya shaka sisi tutamhifadhi.
- Basi ilikuwaje adhabu yangu na maonyo yangu!
- Na Waumini wanaume na Waumini wanawake wao kwa wao ni marafiki walinzi. Huamrisha mema na
- Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
- Na ikiwa watajivuna, basi hao walioko kwa Mola wako Mlezi wanamtakasa Yeye usiku na mchana,
- Mwenye kutaka utukufu basi utukufu wote uko kwa Mwenyezi Mungu. Kwake Yeye hupanda neno zuri,
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Hijr with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Hijr mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Hijr Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



