Surah Munafiqun aya 8 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Munafiqun aya 8 in arabic text(The Hypocrites).
  
   

﴿يَقُولُونَ لَئِن رَّجَعْنَا إِلَى الْمَدِينَةِ لَيُخْرِجَنَّ الْأَعَزُّ مِنْهَا الْأَذَلَّ ۚ وَلِلَّهِ الْعِزَّةُ وَلِرَسُولِهِ وَلِلْمُؤْمِنِينَ وَلَٰكِنَّ الْمُنَافِقِينَ لَا يَعْلَمُونَ
[ المنافقون: 8]

Wanasema: Tukirejea Madina mwenye utukufu zaidi bila ya shaka atamfukuza aliye mnyonge. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye utukufu - Yeye, na Mtume wake, na Waumini. Lakini wanaafiki hawajui.

Surah Al-Munafiqun in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


They say, "If we return to al-Madinah, the more honored [for power] will surely expel therefrom the more humble." And to Allah belongs [all] honor, and to His Messenger, and to the believers, but the hypocrites do not know.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Wanasema: Tukirejea Madina mwenye utukufu zaidi bila ya shaka atamfukuza aliye mnyonge. Na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye utukufu - Yeye, na Mtume wake, na Waumini. Lakini wanaafiki hawajui.


Wanaafiki wanasema kwa kutoa ahadi: Tukirejea Madina hapana shaka kikundi chetu, ambacho ndicho chenye nguvu zaidi, kitakitoa kikundi cha Waumini ambao ni wanyonge! Nguvu anazo Mwenyezi Mungu, na Mtume wake, na Waumini; sio hawa wanao jitia kuahidi. Lakini wanaafiki hawajui kitu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 8 from Munafiqun


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na yule bibi wa nyumba aliyo kuwamo Yusuf alimtamani kinyume cha nafsi yake, na akafunga
  2. Na ikiwa mnaogopa kuwa hamtowafanyia mayatima uadilifu, basi oeni mnao wapenda katika wanawake, wawili au
  3. Sema: Mwenyezi Mungu angeli taka nisingeli kusomeeni, wala nisingeli kujuvyeni. Kwani nalikwisha kaa nanyi umri
  4. BASI NI NANI dhaalimu mkubwa kuliko yule aliye msingizia uwongo Mwenyezi Mungu na kuikanusha kweli
  5. Je! Ni vigumu zaidi kukuumbeni nyinyi au mbingu? Yeye ndiye aliye ijenga!
  6. Ametukuka ambaye akitaka atakujaalia yaliyo bora kuliko hayo, nayo ni mabustani yapitayo mito kati yao,
  7. Au Yeye Mwenyezi Mungu ana wasichana, na nyinyi ndio mna wavulana?
  8. Lakini Sisi tuliziumba kaumu, na ukawa mrefu umri juu yao. Wala hukuwa mkaazi na watu
  9. Na nyota zitapo tawanyika,
  10. Na kwa yakini wao wanafika kwenye nchi ilio teremshiwa mvua mbaya. Basi, je, hawakuwa wakiiona?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Munafiqun with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Munafiqun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Munafiqun Complete with high quality
Surah Munafiqun Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Munafiqun Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Munafiqun Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Munafiqun Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Munafiqun Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Munafiqun Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Munafiqun Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Munafiqun Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Munafiqun Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Munafiqun Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Munafiqun Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Munafiqun Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Munafiqun Al Hosary
Al Hosary
Surah Munafiqun Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Munafiqun Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, July 16, 2024

Please remember us in your sincere prayers