Surah Ad Dukhaan aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ad Dukhaan aya 28 in arabic text(The Smoke).
  
   

﴿كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
[ الدخان: 28]

Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.

Surah Ad-Dukhaan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Thus. And We caused to inherit it another people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.


Mfano wa adhabu hiyo Mwenyezi Mungu humuadhibu mwenye kwenda kinyume na amri yake, na akatoka katika utiifu wake, na humwondolea neema yule mwenye nayo akawapa watu wenginewe wasio kuwa na makhusiano nao yoyote, la ya ujamaa wala dini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ad Dukhaan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Bali Mwenyezi Mungu ndiye Mlinzi wenu, naye ndiye bora wa wasaidizi.
  2. Na yeyote kati yao atakaye sema: Mimi ni mungu, badala yake, basi huyo tutamlipa malipo
  3. Wao hawawaombi badala yake Yeye ila wanawake, wala hawamuombi ila Shet'ani aliye asi.
  4. Kwa kosa gani aliuliwa?
  5. Hakika wale walio muabudu ndama, itawapata ghadhabu ya Mola wao Mlezi na madhila katika maisha
  6. Wala msiyakaribie mali ya yatima, isipo kuwa kwa njia iliyo bora, mpaka afike utuuzimani. Na
  7. Tulipo watumia wawili, wakawakanusha. Basi tukawazidishia nguvu kwa mwingine wa tatu. Wakasema: Hakika sisi tumetumwa
  8. Wala kabisa usiwadhanie walio uliwa katika Njia ya Mwenyezi Mungu kuwa ni maiti. Bali hao
  9. Na hakika katika sisi wamo walio wema, na wengine wetu ni kinyume na hivyo. Tumekuwa
  10. Waheshimiwa wa kaumu yake wanao jivuna waliwaambia wanao onewa wenye kuamini miongoni mwao: Je, mnaitakidi

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Surah Ad Dukhaan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ad Dukhaan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ad Dukhaan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ad Dukhaan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ad Dukhaan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ad Dukhaan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ad Dukhaan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ad Dukhaan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ad Dukhaan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ad Dukhaan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ad Dukhaan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ad Dukhaan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ad Dukhaan Al Hosary
Al Hosary
Surah Ad Dukhaan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ad Dukhaan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, June 4, 2026

Please remember us in your sincere prayers