Surah Ad Dukhaan aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ad Dukhaan aya 28 in arabic text(The Smoke).
  
   

﴿كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
[ الدخان: 28]

Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.

Surah Ad-Dukhaan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Thus. And We caused to inherit it another people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.


Mfano wa adhabu hiyo Mwenyezi Mungu humuadhibu mwenye kwenda kinyume na amri yake, na akatoka katika utiifu wake, na humwondolea neema yule mwenye nayo akawapa watu wenginewe wasio kuwa na makhusiano nao yoyote, la ya ujamaa wala dini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ad Dukhaan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na akalifanya hili liwe neno lenye kubaki katika vizazi vyake ili warejee.
  2. Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
  3. Ndipo akamwomba Mola wake Mlezi: Hakika watu hawa ni wakosefu.
  4. Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.
  5. Sema: Hakika Mola wangu Mlezi humkunjulia riziki na humdhikisha amtakaye. Lakini watu wengi hawajui.
  6. Ili msimuabudu isipo kuwa Allah, Mwenyezi Mungu. Hakika mimi kwenu ni mwonyaji na mbashiri nitokae
  7. Basi naapa kwa Mola wako Mlezi! Kwa yakini tutawakusanya wao pamoja na mashet'ani; kisha tutawahudhurisha
  8. Basi ni kipi baadaye kitacho kukukadhibishia malipo?
  9. Sema: Aliye kuwa ni adui wa Jibril, basi huyo ndiye aliye iteremsha Qur'ani moyoni mwako
  10. Wakasema: Ewe Nuhu! Umejadiliana, na umekithirisha kutujadili. Basi tuletee hayo unayo tuahidi, ukiwa miongoni mwa

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Surah Ad Dukhaan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ad Dukhaan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ad Dukhaan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ad Dukhaan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ad Dukhaan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ad Dukhaan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ad Dukhaan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ad Dukhaan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ad Dukhaan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ad Dukhaan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ad Dukhaan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ad Dukhaan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ad Dukhaan Al Hosary
Al Hosary
Surah Ad Dukhaan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ad Dukhaan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Sunday, January 11, 2026

Please remember us in your sincere prayers