Surah Ad Dukhaan aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ad Dukhaan aya 28 in arabic text(The Smoke).
  
   

﴿كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
[ الدخان: 28]

Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.

Surah Ad-Dukhaan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Thus. And We caused to inherit it another people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.


Mfano wa adhabu hiyo Mwenyezi Mungu humuadhibu mwenye kwenda kinyume na amri yake, na akatoka katika utiifu wake, na humwondolea neema yule mwenye nayo akawapa watu wenginewe wasio kuwa na makhusiano nao yoyote, la ya ujamaa wala dini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ad Dukhaan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na haiwezekani Qur'ani hii kuwa imetungwa na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inasadikisha yaliyo
  2. Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
  3. Humo watapata wakitakacho, na kwetu yako ya ziada.
  4. Mwenyezi Mungu atawadhihaki wao na atawawacha katika upotofu wao wakitangatanga ovyo.
  5. Yeye ndiye aliye kuteremshia Kitabu hichi. Ndani yake zimo Aya muhkam, zenye maana wazi. Hizo
  6. Na wao wataziambia ngozi zao: Kwa nini mmetushuhudilia? Nazo zitasema: Ametutamkisha Mwenyezi Mungu ambaye ametamkisha
  7. Na tukawaambia baada yake Wana wa Israili: Kaeni katika nchi. Itapo kuja ahadi ya Akhera
  8. Kisha baada ya hayo Mwenyezi Mungu atawasamehe awatakao. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
  9. Na mwanamke akichelea kutupwa au kutojaliwa na mumewe, basi si vibaya kwao wakisikizana kwa suluhu.
  10. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Surah Ad Dukhaan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ad Dukhaan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ad Dukhaan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ad Dukhaan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ad Dukhaan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ad Dukhaan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ad Dukhaan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ad Dukhaan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ad Dukhaan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ad Dukhaan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ad Dukhaan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ad Dukhaan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ad Dukhaan Al Hosary
Al Hosary
Surah Ad Dukhaan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ad Dukhaan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Thursday, June 4, 2026

Please remember us in your sincere prayers