Surah Ad Dukhaan aya 28 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Ad Dukhaan aya 28 in arabic text(The Smoke).
  
   

﴿كَذَٰلِكَ ۖ وَأَوْرَثْنَاهَا قَوْمًا آخَرِينَ
[ الدخان: 28]

Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.

Surah Ad-Dukhaan in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


Thus. And We caused to inherit it another people.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Ndio hivyo! Na tukawarithisha haya watu wenginewe.


Mfano wa adhabu hiyo Mwenyezi Mungu humuadhibu mwenye kwenda kinyume na amri yake, na akatoka katika utiifu wake, na humwondolea neema yule mwenye nayo akawapa watu wenginewe wasio kuwa na makhusiano nao yoyote, la ya ujamaa wala dini.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 28 from Ad Dukhaan


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi ubaya wa waliyo yatenda utawadhihirikia, na yatawazunguka waliyo yafanyia maskhara.
  2. Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa.
  3. Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
  4. Mwenyezi Mungu akasema: Hakika Mimi nitakuteremshieni hicho. Lakini yeyote katika nyinyi atakaye kanya baadae, basi
  5. Nasi hatukukutuma ila uwe ni Rehema kwa walimwengu wote.
  6. Basi yule bwana alipoona kanzu yake imechanwa kwa nyuma, alisema: Hakika haya ni katika vitimbi
  7. Au wanadhani wanao tenda maovu kwamba watatushinda? Hukumu mbaya hiyo wanayo hukumu.
  8. Na kama ingeli kuwako Qur'ani ndiyo inayo endeshewa milima, na kupasuliwa ardhi, na kusemeshewa wafu,
  9. Akikunusuruni Mwenyezi Mungu hapana wa kukushindeni, na akikutupeni ni nani, basi, baada yake Yeye ataye
  10. Hakika Sisi tutairithi ardhi na walio juu yake. Na kwetu watarejeshwa.

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Ad Dukhaan with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Ad Dukhaan mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Ad Dukhaan Complete with high quality
Surah Ad Dukhaan Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Ad Dukhaan Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Ad Dukhaan Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Ad Dukhaan Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Ad Dukhaan Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Ad Dukhaan Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Ad Dukhaan Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Ad Dukhaan Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Ad Dukhaan Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Ad Dukhaan Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Ad Dukhaan Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Ad Dukhaan Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Ad Dukhaan Al Hosary
Al Hosary
Surah Ad Dukhaan Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Ad Dukhaan Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Tuesday, April 29, 2025

Please remember us in your sincere prayers