Surah Sad aya 83 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ﴾
[ ص: 83]
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
Surah Saad in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Except, among them, Your chosen servants."
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Isipo kuwa wale waja wako miongoni mwao walio khitariwa.
Isipo kuwa waja wako ulio wateuwa kwa ajili ya kukutii Wewe. Hao sina madaraka nao.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
- Na wanapo kuona hawakuchukulii ila ni mzaha tu, na (wanasema): Ati ndiye huyu Mwenyezi Mungu
- Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
- Na Mola wako Mlezi ndiye Mkwasi, Mwenye rehema. Akipenda atakuondoeni na awaweke wengine awapendao badala
- Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
- Na tutatoa shahidi katika kila umma, na tutasema: Leteni hoja zenu! Hapo watajua kwamba hakika
- Kisha hakika nyinyi baada ya hayo mtakufa.
- Na hakika hii bila ya shaka ni haki ya yakini.
- Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
- Basi kimbilieni kwa Mwenyezi Mungu, hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Sad with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Sad mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Sad Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers