Surah Assaaffat aya 145 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Assaaffat aya 145 in arabic text(Those Who Set The Ranks).
  
   

﴿۞ فَنَبَذْنَاهُ بِالْعَرَاءِ وَهُوَ سَقِيمٌ﴾
[ الصافات: 145]

Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.

Surah As-Saaffat in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


But We threw him onto the open shore while he was ill.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Lakini tulimtupa ufukweni patupu, hali yu mgonjwa.


Tukamtupa pahali patupu kwenye nchi pasipo kuwa na miti wala majumba, naye ni mgonjwa kwa yaliyo mpata. Yaliyo mtokea Sayyidna Yunus a.s. ni muujiza. Lakini nayo si muhali kutokea mtu kumezwa na samaki, na akabakia yuhai ndani yake kwa muda fulani. Mawili yaweza kuwa - Kwanza, ni kuwa huyo samaki ni namna asiye kuwa na meno katika kabila ya nyangumi wakubwa kabisa, kama nyangumi wanao onekana sana katika Bahari ya Kati (Mediterranean). Urefu wake huweza kufika Mita 20. Alibaki Yunus katika mpandikizi wa kinywa chake huyo nyangumi mpaka alipo mtema kwenye ufukwe mtupu, kwani koo ya nyangumi ni nyembamba hawezi kupita mtu. Pili, yaweza kuwa huyo samaki ni namna ya wenye meno pia, kama nyangumi wa ambari, na ambaye pia urefu wake hufika mita 20. Hawa mara kadhaa wa kadhaa huonekana katika Bahari ya Kati. Nyangumi hao yawezekana kwa kawaida kuwameza wanyama wakubwa wanao pita urefu wa mita tatu.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 145 from Assaaffat


Ayats from Quran in Swahili

  1. Na haiwafikii hata ishara moja katika ishara za Mola wao Mlezi ila wao huwa wenye
  2. Na Musa ilipo mtulia ghadhabu aliziokota zile mbao. Na katika maandiko yake mna uwongofu na
  3. Na ikamsikiliza Mola wake Mlezi, na ikapasiwa kumsikiliza,
  4. Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
  5. Akasema: Kwa hakika nimepewa haya kwa sababu ya ilimu niliyo nayo. Je! Hakujua kwamba Mwenyezi
  6. Na bila ya shaka tuliwatuma Mitume kabla yako. Wengine katika hao tumekusimulia khabari zao, na
  7. Na tukaifanya mbingu kuwa dari iliyo hifadhiwa, lakini wanazipuuza Ishara zake.
  8. Mwenyezi Mungu, na Malaika, na wenye ilimu, wameshuhudia kuwa hakika hapana mungu ila Yeye, ndiye
  9. Na ukiwauliza; Nani aliye umba mbingu na ardhi na akafanya jua na mwezi kuti'ii amri
  10. Kipo kikundi katika Watu wa Kitabu wanao penda kukupotezeni; lakini hawapotezi ila nafsi zao, nao

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Assaaffat with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Assaaffat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Assaaffat Complete with high quality
Surah Assaaffat Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Assaaffat Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Assaaffat Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Assaaffat Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Assaaffat Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Assaaffat Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Assaaffat Abdul Rashid Sufi
Abdul Rashid Sufi
Surah Assaaffat Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Assaaffat Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Assaaffat Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Assaaffat Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Assaaffat Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Assaaffat Al Hosary
Al Hosary
Surah Assaaffat Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Assaaffat Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Saturday, May 11, 2024

لا تنسنا من دعوة صالحة بظهر الغيب