Surah Muminun aya 86 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿قُلْ مَن رَّبُّ السَّمَاوَاتِ السَّبْعِ وَرَبُّ الْعَرْشِ الْعَظِيمِ﴾
[ المؤمنون: 86]
Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu saba na Mola Mlezi wa A'rshi Kuu?
Surah Al-Muminun in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Say, "Who is Lord of the seven heavens and Lord of the Great Throne?"
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Sema: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu saba na Mola Mlezi wa Arshi Kuu?
Waambie tena: Ni nani Mola Mlezi wa mbingu saba na Mola Mlezi wa Arshi Kuu? (Kiti Kikuu cha Enzi)
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na tumeacha katika mji huo Ishara ilio wazi kwa watu wanao tumia akili zao.
- Enyi wanaadamu! Chukueni pambo lenu kwenye kila pahala wakati wa ibada, na kuleni, na kunyweni
- Na kama tungeli mfanya Malaika bila ya shaka tungeli mfanya kama binaadamu, na tungeli watilia
- Na mwanamke akichelea kutupwa au kutojaliwa na mumewe, basi si vibaya kwao wakisikizana kwa suluhu.
- Na tuliwaangamiza kina A'di na Thamudi na watu wa Rass na vizazi vingi vilivyo kuwa
- Kisha waambiwe: Haya ndiyo mliyo kuwa mkiyakadhabisha.
- Na mnaacha maisha ya Akhera.
- Na mfano wa walio kufuru ni kama mfano wa anaye mpigia kelele asiye sikia ila
- Enyi mlio amini! Mkiambiwa: Fanyeni nafasi katika mabaraza, basi fanyeni nafasi. Na Mwenyezi Mungu atakufanyieni
- Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Muminun with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Muminun mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Muminun Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers