Surah Shuara aya 91 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ﴾
[ الشعراء: 91]
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.
Surah Ash-Shuara in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And Hellfire will be brought forth for the deviators,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.
Na Moto utaletwa mbele ya walio iacha Dini ya Haki, mpaka ndimi zake zikaribie kuwanyakua, nao watakuwa majutoni.
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Ama wale walio kufuru, nitawaadhibu adhabu kali katika dunia na Akhera, wala hawatapata wa kuwanusuru.
- Kisha tukawazindua ili tujue ni lipi katika makundi mawili lilio hisabu sawa muda walio kaa.
- Vikaifunika vilivyo funika.
- Hakika walio sema: Mola wetu Mlezi ni Mwenyezi Mungu; kisha wakatengenea, hawatakuwa na khofu, wala
- Huyu ndiye Mwenye kuyajua yasiyo onekana na yanayo onekana. Mwenye nguvu, Mwenye kurehemu.
- Na anaye fanya juhudi basi bila ya shaka anafanya juhudi kwa ajili ya nafsi yake.
- IMEWAKARIBIA watu hisabu yao, nao wamo katika mghafala wanapuuza.
- Na tukamwachia (sifa njema) kwa walio kuja baadaye.
- Na tulipo waambia Malaika: Msujudieni Adam! Wakasujudu, isipo kuwa Iblisi, alikataa.
- Je! Hawatembei katika ardhi ili wapate kuwa na nyoyo zao za kuzingatia, au masikio ya
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers