Surah Shuara aya 90 , Swahili translation of the meaning Ayah.

  1. Arabic
  2. tafsir
  3. mp3
  4. English
Quran in Swahili QUR,ANI TUKUFU na tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili - Ali Muhsen Alberwany & English - Sahih International : Surah Shuara aya 90 in arabic text(The Poets).
  
   

﴿وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ﴾
[ الشعراء: 90]

Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.

Surah Ash-Shuara in Swahili

Swahili Translation - Al-Barwani

English - Sahih International


And Paradise will be brought near [that Day] to the righteous.


Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili


Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.


Na Pepo itajongezwa, na itakaribishwa pahala pa watu wema. Basi wataiendea wale walio jikinga na ukafiri na maasi, na wakaikubali Imani na utiifu duniani.

English Türkçe Indonesia
Русский Français فارسی
تفسير Bengali Urdu

listen to Verse 90 from Shuara


Ayats from Quran in Swahili

  1. Basi ukelele ukawatwaa asubuhi.
  2. Mola Mlezi wa mbingu na ardhi na vilivyo baina yake. Basi muabudu Yeye tu, na
  3. Na akamwambia yule aliye jua kuwa atavuka katika wale wawili: Nikumbuke kwa bwana wako. Lakini
  4. Enyi watu wangu! Huyu ngamia wa Mwenyezi Mungu ni Ishara kwenu. Basi mwacheni ale katika
  5. Na ngamia wenye mimba pevu watakapo achwa wasishughulikiwe,
  6. Kwani hamwoni jinsi Mwenyezi Mungu alivyo ziumba mbingu saba kwa matabaka?
  7. Sema: Hapana katika mbingu na ardhi ajuaye ya ghaibu isipo kuwa Mwenyezi Mungu. Wala wao
  8. Sema: Hivyo mnatutazamia litupate lolote isipo kuwa moja katika mema mawili? Na sisi tunakutazamieni kuwa
  9. (Ataambiwa): Hayo ni kwa sababu ya iliyo tanguliza mikono yako. Na hakika Mwenyezi Mungu si
  10. Na hakika tumewatukuza wanaadamu, na tumewapa vya kupanda nchi kavu na baharini, na tumewaruzuku vitu

Quran Surah in Swahili :

Al-Baqarah Al-'Imran An-Nisa'
Al-Ma'idah Yusuf Ibrahim
Al-Hijr Al-Kahf Maryam
Al-Hajj Al-Qasas Al-'Ankabut
As-Sajdah Ya Sin Ad-Dukhan
Al-Fath Al-Hujurat Qaf
An-Najm Ar-Rahman Al-Waqi'ah
Al-Hashr Al-Mulk Al-Haqqah
Al-Inshiqaq Al-A'la Al-Ghashiyah

Download Surah Shuara with the voice of the most famous Quran reciters :

Surah Shuara mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Shuara Complete with high quality
Surah Shuara Ahmed El Agamy
Ahmed Al Ajmy
Surah Shuara Bandar Balila
Bandar Balila
Surah Shuara Khalid Al Jalil
Khalid Al Jalil
Surah Shuara Saad Al Ghamdi
Saad Al Ghamdi
Surah Shuara Saud Al Shuraim
Saud Al Shuraim
Surah Shuara Abdul Basit Abdul Samad
Abdul Basit
Surah Shuara Ammar Al-Mulla
Ammar Al-Mulla
Surah Shuara Abdullah Basfar
Abdullah Basfar
Surah Shuara Abdullah Awwad Al Juhani
Abdullah Al Juhani
Surah Shuara Fares Abbad
Fares Abbad
Surah Shuara Maher Al Muaiqly
Maher Al Muaiqly
Surah Shuara Muhammad Siddiq Al Minshawi
Al Minshawi
Surah Shuara Al Hosary
Al Hosary
Surah Shuara Al-afasi
Mishari Al-afasi
Surah Shuara Yasser Al Dosari
Yasser Al Dosari


Monday, August 4, 2025

Please remember us in your sincere prayers