Surah Yunus aya 96 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿إِنَّ الَّذِينَ حَقَّتْ عَلَيْهِمْ كَلِمَتُ رَبِّكَ لَا يُؤْمِنُونَ﴾
[ يونس: 96]
Hakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwisha thibitika juu yao, hawataamini,
Surah Yunus in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
Indeed, those upon whom the word of your Lord has come into effect will not believe,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Hakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwisha thibitika juu yao, hawataamini,
Hakika wale iliyo kwisha pita juu yao hukumu ya kuwa wao ni makafiri, kwa kujuulikana inadi yao na chuki zao, hawatoamini hata ukijihangaisha vipi nafsi yako kuwakinaisha.
| English | Türkçe | Indonesia |
| Русский | Français | فارسی |
| تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Na ambaye amekadiria na akaongoa,
- Wala msichanganye kweli na uwongo na mkaificha kweli nanyi mnajua.
- (Musa) akasema: Mola Mlezi wangu! Nisamehe mimi na ndugu yangu, na ututie katika rehema yako.
- Na Sisi tunaiona iko karibu.
- Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
- Na wanapo ambiwa: Njooni kwenye yale aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu, na kwa Mtume, husema: Yanatutosha
- Na wale ambao hawatoi ushahidi wa uwongo, na pindi wapitapo penye upuuzi, hupita kwa hishima
- Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini.
- Unaangamiza kila kitu kwa amri ya Mola wake Mlezi. Wakawa hawaonekani ila nyumba zao tu.
- Ndio hivi! Basi na wayaonje maji ya moto na ya usaha!
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Yunus with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Yunus mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Yunus Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers



