Surah Naziat aya 5 , Swahili translation of the meaning Ayah.
﴿فَالْمُدَبِّرَاتِ أَمْرًا﴾
[ النازعات: 5]
Wakidabiri mambo.
Surah An-Naziat in SwahiliSwahili Translation - Al-Barwani
English - Sahih International
And those who arrange [each] matter,
Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili
Wakidabiri mambo.
Na vinavyo dabiri, kupanga, mambo na kuyaendesha kwa mujibu wa vilivyo khusishwa,
English | Türkçe | Indonesia |
Русский | Français | فارسی |
تفسير | Bengali | Urdu |
Ayats from Quran in Swahili
- Je! Imekufikia hadithi ya wageni wa Ibrahim wanao hishimiwa?
- Basi Mwenyezi Mungu atawalipa, kwa yale waliyo yasema, Bustani zipitazo mito katika yake; humo watadumu.
- Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
- Enyi mlio amini! Mcheni Mwenyezi Mungu, na kila nafsi iangalie inayo yatanguliza kwa ajili ya
- Atasema: Mlikaa muda gani katika ardhi kwa hisabu ya miaka?
- Na hakika sisi ndio wenye kusabihi kutakasa.
- Basi mbona wale walio washika badala ya Mwenyezi Mungu, kuwa ati hao ndio wawakurubishe, hawakuwanusuru?
- Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
- Itakapo tikiswa ardhi kwa mtikiso,
- Ambaye ameumba mauti na uhai ili kukujaribuni ni nani miongoni mwenu mwenye vitendo vizuri zaidi.
Quran Surah in Swahili :
Download Surah Naziat with the voice of the most famous Quran reciters :
Surah Naziat mp3 : choose the reciter to listen and download the chapter Naziat Complete with high quality
Ahmed Al Ajmy
Bandar Balila
Khalid Al Jalil
Saad Al Ghamdi
Saud Al Shuraim
Abdul Basit
Ammar Al-Mulla
Abdullah Basfar
Abdullah Al Juhani
Fares Abbad
Maher Al Muaiqly
Al Minshawi
Al Hosary
Mishari Al-afasi
Yasser Al Dosari
Please remember us in your sincere prayers